NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
NAFASI ZA MASOMO
*Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiborloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote
Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa ajili ya kozi zifuatazo:*
*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*
*2.** **Ujambazi miezi sita;*
*3.** **Kuchoma mtu kisu wiki moja;*
*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa miezi miwili;*
*5. Kungarisha viatu wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*
*6.** **Kuuza duka miezi mitatu;*
*7.** **Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani miezi minne;*
*8.** **Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa miaka miwili;*
*9.** **Kufuga ngombe mwaka mmoja;*
*10.** **Kuendesha pick-up miezi minne;*
*11.** **Kugombea udiwani miaka miwili;*
*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji wiki sita;*
*13.** **Kuchakachua mafuta mwaka mmoja;*
*14.** **Kupata kazi TRA miezi mitatu;*
*15.** **Kukwepa kodi wiki nane; na
*16.** **jinsi ya kuishi eneo la Kimara, Dar es salaam.*
*17.** **Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni bure;*
Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18
mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya krismasi ya mwaka huu
Nafasi za malazi zipo
*Watakaojiandikisha mapema watafundishwa bila malipo,
Barua kwa anuan hii
chuo
box 13334
Kiborloni
Moshi.
Elisaria Mboroo
Mkuu wa chuo
*Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiborloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote
Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa ajili ya kozi zifuatazo:*
*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*
*2.** **Ujambazi miezi sita;*
*3.** **Kuchoma mtu kisu wiki moja;*
*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa miezi miwili;*
*5. Kungarisha viatu wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*
*6.** **Kuuza duka miezi mitatu;*
*7.** **Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani miezi minne;*
*8.** **Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa miaka miwili;*
*9.** **Kufuga ngombe mwaka mmoja;*
*10.** **Kuendesha pick-up miezi minne;*
*11.** **Kugombea udiwani miaka miwili;*
*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji wiki sita;*
*13.** **Kuchakachua mafuta mwaka mmoja;*
*14.** **Kupata kazi TRA miezi mitatu;*
*15.** **Kukwepa kodi wiki nane; na
*16.** **jinsi ya kuishi eneo la Kimara, Dar es salaam.*
*17.** **Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni bure;*
Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18
mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya krismasi ya mwaka huu
Nafasi za malazi zipo
*Watakaojiandikisha mapema watafundishwa bila malipo,
Barua kwa anuan hii
chuo
box 13334
Kiborloni
Moshi.
Elisaria Mboroo
Mkuu wa chuo