Nafasi za masomo-kiboriloni moshi

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
NAFASI ZA MASOMO
*Chuo maalum kwa ajili ya kutoa ajira za chapchap kimefunguliwa hapa Kiborloni,
Chuo Kimesajiliwa na VETA na kina waalimu waliobobea katika nyanja zote




Chuo kinapokea maombi kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba kwa ajili ya kozi zifuatazo:*

*1.** **Ulevi Mwezi mmoja;*

*2.** **Ujambazi miezi sita;*

*3.** **Kuchoma mtu kisu wiki moja;*

*4.** **Kuchoma nyama kwenye baa miezi miwili;*

*5. Kung’arisha viatu wiki tatu (maalum kwa vijana wa Rombo);*

*6.** **Kuuza duka miezi mitatu;*

*7.** **Kurekebisha mipaka ya kiwanja cha jirani miezi minne;*

*8.** **Kupata mume msomi na mwenye wadhifa mkubwa miaka miwili;*

*9.** **Kufuga ng’ombe mwaka mmoja;*

*10.** **Kuendesha pick-up miezi minne;*

*11.** **Kugombea udiwani miaka miwili;*

*12.** **Kuendesha pikipiki za bodaboda na bajaji wiki sita;*

*13.** **Kuchakachua mafuta mwaka mmoja;*

*14.** **Kupata kazi TRA miezi mitatu;*

*15.** **Kukwepa kodi wiki nane; na




*16.** **jinsi ya kuishi eneo la Kimara, Dar es salaam.*

*17.** **Kukatisha tiketi kwenye magari ya Moshi, Dar na Arusha ni bure;*


Mwanafunzi lazima awe mchaga wa kuzaliwa pia baba na mama yake wawe wachaga, mwenye elimu ya msingi na asizidi miaka 18

mwisho wa kupikea maombi ni kabla ya krismasi ya mwaka huu

Nafasi za malazi zipo
*Watakaojiandikisha mapema watafundishwa bila malipo,




Barua kwa anuan hii



chuo

box 13334

Kiborloni
Moshi.



Elisaria Mboroo

Mkuu wa chuo
 
unajua wachaga tunaandamwa sana.......ila thats what makes us grow stronger and stronger and become unstopable
 
kyeleuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ai ai,hii ni kali sana.Wachaga vipi tena ndugu zanguni?Mbona mambo yanawaandama nyie tu?Vipi uraisi na uenyekiti wa chama?na kitimoto?
 
Leo siku yangu imekuwa nzuri kweli maana nimecheka nusu nizimie hasa hapo kwenye namba 4, 7 na 17 nimeshakumbana nao mara kibao
 
Back
Top Bottom