Nafasi za kazi Magereza,JWTZ na Polisi.

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Jamani wadau naomba kwa yeyote ayejua nafasi za kazi zinatoka lini kwenye hizo sehemu nilizozitaja aniambie.Najua kuna watu wengi wa kila namna hapa jukwaani.Nataka kumpeleka mdogo wangu kwenye kozi yoyote inayofuata toka sehemu hizo.
Asanteni sana
 
Ana elimu gani huyo mdogo wako? Watatangaza magazetini hasa kwa wale Proffessional ndio wata aply directly makao makuu na hawa wengine lazima wapitie JKT ndio aqualify kwenda Jwtz
 
Muda mfupi uliopita nilikuwa naongea na Commisiner wa Polisi kuhusu ajira ndani ya jeshi la Polisi amesema kwa sasa kule CCP kuna recruit kozi inaendelea ambapo inategemewa kuisha 2012 mwezi wa 2 au 3 baada ya hapo ndipo wataajiri wengine,hvyo tegemea labda kwa kipindi hicho.Hata hivyo ametoa angalizo kuwa Jeshi la Polisi linasitasita kuajiri wasomi wengi maana wanaleta usumbufu kwa viongozi wa ngazi za juu za jeshi hilo kwa kuhoji kila jambo kinyume kabisa na maadili ya jeshi ambapo askari anatakiwa kuitikia NDIYO AFANDE hata kama anaonewa/kudhurumiwa haki yake.
 
Ana elimu gani huyo mdogo wako? Watatangaza magazetini hasa kwa wale Proffessional ndio wata aply directly makao makuu na hawa wengine lazima wapitie JKT ndio aqualify kwenda Jwtz
<br />
<br />
Ana elimu ya kidato cha sita.alipata div 4.
 
wakati anazubaa zubaa mpeleke veta akatafute cheti kingine inamaana sana kama atakuwa na kitu cha ziada
 
jaman jaman!huyo mdogo wako amekosa nini mpk unataka aende majeshini?najua WaTanzania wengi dhana ya kupeleka ndugu au watoto wao kigezo nikuwa wamfeli shuleni,au wamepata division 4 za mwsho so jeshini ni last option,mdogo wako ana elimu gan?majeshini bila elimu ya kueleweka unataka mdogo wako akawe mtumwa na manamba wa kutupwa,atakuwa ni mtu wa kukataa tamaa kama tunavyoona wanajeshi askari wetu hapa Tz na kuishia ktk gongo,hakikisha awe na elimu kwanza angalau digrii ndio umpeleke,kutwa wenzetu hao wanasema maslahi duni,japokuwa hawasemi direct lkn hawana kitu na serikali imewatupa kimapato,angalia ni nn sbb ya wewe kutaka kumpeleka huko...iwish ningeonana face to face nikwambia uozo mwingne mwng ulipo majeshini hasa ktk vyuo vyao vya mafunzo.....Yaan acha tuu!
 
jaman jaman!huyo mdogo wako amekosa nini mpk unataka aende majeshini?najua WaTanzania wengi dhana ya kupeleka ndugu au watoto wao kigezo nikuwa wamfeli shuleni,au wamepata division 4 za mwsho so jeshini ni last option,mdogo wako ana elimu gan?majeshini bila elimu ya kueleweka unataka mdogo wako akawe mtumwa na manamba wa kutupwa,atakuwa ni mtu wa kukataa tamaa kama tunavyoona wanajeshi askari wetu hapa Tz na kuishia ktk gongo,hakikisha awe na elimu kwanza angalau digrii ndio umpeleke,kutwa wenzetu hao wanasema maslahi duni,japokuwa hawasemi direct lkn hawana kitu na serikali imewatupa kimapato,angalia ni nn sbb ya wewe kutaka kumpeleka huko...iwish ningeonana face to face nikwambia uozo mwingne mwng ulipo majeshini hasa ktk vyuo vyao vya mafunzo.....Yaan acha tuu!

But yet we need people to join our forces regardless what, sina uhakika ni wapi katika nchi hii hakuna uozo. Tatizo ni kwamba pamoja na elimu yako unahitaji mtu wa kukushika mkono kupata kibarua. Watu pia wanapenda fani tofauti, huwezi kumlazimisha huyo mdogo wake kwenda THT!!!!!!
 
Nimeona mchangiaji mmoja hapo juu amesema ampeleke ualimu. Hivi ualimu ni kazi ya walio feli? Nauliza tu maGT.
 
Jamani mimi ni mhitimu wa mafunzo ya kilimo na mifugo je naweza nikapata nafasi ya kujiunga na jwtz kutokana na hiyo proffesional niliyo nayo?
 
Back
Top Bottom