DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,497
- 46,962
Tatizo lenu hamjui kitu sijui mpo kijiji gani mnatoa taarifa za uongo at the great extentRatiba inasoma Siku 19 ni Kwa makarani watakaoshiriki dodoso la jamii
Vinginevyo ni Siku 16
Tatizo lenu hamjui kitu sijui mpo kijiji gani mnatoa taarifa za uongo at the great extentRatiba inasoma Siku 19 ni Kwa makarani watakaoshiriki dodoso la jamii
Vinginevyo ni Siku 16
To clarify things,Ratiba inasoma Siku 19 ni Kwa makarani watakaoshiriki dodoso la jamii
Vinginevyo ni Siku 16
Hiyo ni Kwa madhumuni ya ratiba tuliyopewa maswala ya vijiji ni kuonyesha ulivyo nangaTatizo lenu hamjui kitu sijui mpo kijiji gani mnatoa taarifa za uongo at the great extent
SawaTo clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Endelea tu kujiongopea na kujipa matumaini ila ikifika tarehe 15 utaelewaTo clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Kataa kitu kwa fact mdg wangu mkataba Wa mafunzo unakuambiaje mean au unasaini bila kusomaEndelea tu kujiongopea na kujipa matumaini ila ikifika tarehe 15 utaelewa
Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.Kataa kitu kwa fact mdg wangu mkataba Wa mafunzo unakuambiaje mean au unasaini bila kusoma
Acha kuongopea na kuogopesha watu .Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
Inategemea na nini?Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
We Jamaa umelewa Mbege sijui hivi unafikiri Serikali ina akili za kipumbavu hivyo yaani watu wamelipwa hela 950k then umtoe kabla ya Kaz duu hizi Pombe hatariHunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
Makarani, wasimamizi na tehama wanamaliza mafunzo/seminar tarehe 15 isipokuwa kuna baadhi ya makarani watateuliwa na wasimamizi wa maudhui kuendelea na semina mpaka tarehe 19 hawa watafanya dodoso la jamii na sensa yake itafanyika tarehe 21 na 22.To clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Hakuna reserves kwenye kazi hiiWe Jamaa umelewa Mbege sijui hivi unafikiri Serikali ina akili za kipumbavu hivyo yaani watu wamelipwa hela 950k then umtoe kabla ya Kaz duu hizi Pombe hatari
Huyo ameshalewa Pombe Ni Kama Frank Wanjiru alivyosema hii Kaz ya ukarani watapewa Walimu tu wakati huku semina tupo na Form four kibao na Jobless yaani JF imejaa wajinga Sana now daysInategemea na nini?
Acheni kutunga uongo hamjui hata kuwa Kuna Field ???? !!! Upuuzi hampo NBS Kaz kupost uongoMakarani, wasimamizi na tehama wanamaliza mafunzo/seminar tarehe 15 isipokuwa kuna baadhi ya makarani watateuliwa na wasimamizi wa maudhui kuendelea na semina mpaka tarehe 19 hawa watafanya dodoso la jamii na sensa yake itafanyika tarehe 21 na 22.
Unauliza swali au unatoa jibu?Hakuna reserves kwenye kazi hii
Reserve wapo mkuu, usiongee kitu bila ushahidiUnauliza swali au unatoa jibu?