King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Kama ulikuwa hujastukia ndo hali ilivyo kwenye taaluma karibia zote kasoro udaktari na ualimu!
siku hizi digrii ya kwanza ni kama cheti cha darasa la saba tu!
siku hizi digrii ya kwanza ni kama cheti cha darasa la saba tu!
sasa diploma ya sheria, cheti cha sheria sasa watapangiwa kazi gani................... tunakoelekea ili uwe judge inabid uwe na PHD