Nafasi 150 za uhakimu makama ya mwanzo

sajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
3,021
5,253
Leo tarehe 7 march 2012 kwenye gazeti la mtanzania,zimetangazwa nafasi 150 za uhakimu wa mahakama ya mwanzo..sikubahatika kununua gazeti hili as yamegombaniwa sana yakaisha mapema,so anuani ya kuombea sijaikariri ila najua ni kwa msajili wa mahakama ya rufaa, na vigezo ni degree ya sheria.. deadline pia sikuicheki frsh ila ni info tu so mnaweza hangaika wenyewe kupata full details,hata mimi nahangaika kuzitafuta..aliyenazo au atakaepata atuwekee
humu.
Ni hayo tu,majobless tuendeleeni kujaribu bila kuchoka
 
Digrii ya sheria kuwa hakimu mahakama ya mwanzo!!!!!!!!!!!

Ukishangaa ya Musa ............
 
Digrii ya sheria kuwa hakimu mahakama ya mwanzo!!!!!!!!!!!

Ukishangaa ya Musa ............

kwani unaelewa nini kuhusu mahakama ya mwanzo mpaka ushangae degree ya sheria kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo, acha ujuha wewe
 
hongera kwa moyo mkunjufu wa kututakia maisha bora yenye ajira.Anayeshanagaa degree kuwa hakimu wa primary court acha aendelee kuikalia degree yake akingojea green pasture
 
Mzazi walimu wenyewe pamoja na degree zao wanapelekwa shule za kata kwa hiyo si nyie tu hata huku kwetu yapo
 
Mi sioni tatizo maana ha mbuyu nao ulianza kama mchicha... Changamkieni kazi za maana hizo manake joto la ujobless linaenda nyuzi joto 60. Kila la kheri kwa wenye vigezo.
 
Jmani kuna mwenye gazeti hili la Mtanzania atusaidie kuweka nafasi hizi,angalau atupe nafasi zipi zimetangazwa,wapi tuna-apply na deadline...PLEASE..............
 
kwani unaelewa nini kuhusu mahakama ya mwanzo mpaka ushangae degree ya sheria kuwa hakimu wa mahakama ya mwanzo, acha ujuha wewe

Kijana usikurupuke!!!

Hivyo wewe unajua kitu kinachoitwa Magistrates Courts Act wewe?

Unajua Mtu mwenye LLB anasoma Nini? Unajua set up ya mahakama ya Tanzania unajua mahakama za mwanzo zinadeal na kesi za aina gani? Unajua mahakama za mwanzo zipo wapi ( location gani), very remote area Unajua aina ya kesi zinazosikilizwa mahakama ya mwanzo? Kama ungejua usingeniita Mimi juha.

Ungeuliza ni kwa nini nina mawazo hayo.
 
Ahsante kwa taarifa. Nnavyojua mshahara wa hakimu wa mahakama ya mwanzo ni Kurogwa, kutupiwa majini na kama ndo huko shinyanga kukatwa mapanga inapobidi. Hii sio kazi. Bora ukae zako hapa town na kuuza Kahawa.
 
  • Thanks
Reactions: rom
Kama kawaida yetu tuna-diverge mada ya thread.KUNA MWENYE HIZO NAFASI ATUMWAGIE HAPA JAPO KWA MUHTASARI TU,acheni malumbano yasiyo na tija.
 
Digrii ya sheria kuwa hakimu mahakama ya mwanzo!!!!!!!!!!!

Ukishangaa ya Musa ............

Kwani Degree ya Sheria Ina Nini Cha Ajabu,mpaka utake tushangae hili jambo la wenye degree za sheria kwenda mahakamani za mwanzo!Kwa Taarifa yako watu wenye LLB wamejamtaani mpaka hakuna pa kupita!miaka 5 ijayo watatakiwa makarani wa mahakama wenye llb!
Hata mkweche nakushinda
 
Kwani Degree ya Sheria Ina Nini Cha Ajabu,mpaka utake tushangae hili jambo la wenye degree za sheria kwenda mahakamani za mwanzo!Kwa Taarifa yako watu wenye LLB wamejamtaani mpaka hakuna pa kupita!miaka 5 ijayo watatakiwa makarani wa mahakama wenye llb!
Hata mkweche nakushinda

Digrii ya sheria kuwa karani wa mahakama halafu nisishangae ?

Kuweni serious kidogo, sio kwa faida ya kupata kazi tu, Bali kwa kuangalia umesoma nini na unatumiaje ulichosoma kwa manufaa ya nchi. Kuandika summons? Kuandika removal order? Kuandika quorum? Kujaza fomu za dhamana?

Kama tuko makini tubadili mfumo wa mahakama ili kuaccomdate hilo.
 
Kwani Degree ya Sheria Ina Nini Cha Ajabu,mpaka utake tushangae hili jambo la wenye degree za sheria kwenda mahakamani za mwanzo!Kwa Taarifa yako watu wenye LLB wamejamtaani mpaka hakuna pa kupita!miaka 5 ijayo watatakiwa makarani wa mahakama wenye llb!
Hata mkweche nakushinda

Haina chochote cha ajabu ila wenyewe wanapenda sana kuikuza na kujiita wasomi.
 
jaman naomba nisaidien adress naikiwezekana nipate full page yagazet la mtanzania iliyotangaza nafasi yauhakimu mahakama yamwanzo.
 
:peep:when learned fellows fight for status!

Sasa ngambo Ngali, huko kwenye mahakama za mwanzo ambazo ziko very remote area digirii za sheria zikienda zinakwama juu ya miti ama?:thinking::thinking:
 
kazi zenyewe za sheria zilivyo za shida bongo! ngoja nimstue mrembo mmoja proffessional jobless, anasaka kazi for like 4 years now,labda atagundua kijijini napo kunafaa faa
Haina chochote cha ajabu ila wenyewe wanapenda sana kuikuza na kujiita wasomi.
 
Back
Top Bottom