Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 753
- 775
Mkuu hii karne hakuna kilichoshindkana labda space explorations ndo kuna unsolved myseries.
Mfumo wa Collission Avoidance System unafanya kazi tatu.
1. kugundua uwezekano wa ajali kwa kutumia sensors; all weather radars, cameras na gps kwa kupima umbali, speed na uelekeo wa chombo na vitu vingine barabaran kama wapita njia, zuio la barabara, na vyombo vingine vya usafiri.
2. kutoa taarifa kwa dereva kuhusiana na hatari inayoweza kujitokeza.
3. Ni kuengage driver-overide ili kuzuia ajali ambapo hapa itahusika Automatic Emergency Braking.
Mimi ni critics mkubwa wa Ai lakini hii system ni moja ya sababu kwanin artificial intelligence ni life saver.
Mfumo wa Collission Avoidance System unafanya kazi tatu.
1. kugundua uwezekano wa ajali kwa kutumia sensors; all weather radars, cameras na gps kwa kupima umbali, speed na uelekeo wa chombo na vitu vingine barabaran kama wapita njia, zuio la barabara, na vyombo vingine vya usafiri.
2. kutoa taarifa kwa dereva kuhusiana na hatari inayoweza kujitokeza.
3. Ni kuengage driver-overide ili kuzuia ajali ambapo hapa itahusika Automatic Emergency Braking.
Mimi ni critics mkubwa wa Ai lakini hii system ni moja ya sababu kwanin artificial intelligence ni life saver.
kwenye huo mfumo ni primary prevention kama chanjo swali vipi kama gari mojawapo lita feli break ghafla inauwezo wa kuzuia yasigongane? Mi nadhani huo mfumo ni mzuri ila unamapungufu labda walilenga njia zenye obstacle