Kapakatwa
Kumbe hujawajua hawa watu? wanatunga habari wenyewe wanauchangia wenyewe hawajifunzi kwa wale member waliojiona masuperstaa humu wakaenda kwenye kura za maoni kwa mbwembwe wakarudi kimyakimya wamebwagwa.wanatumia nguvu sijui hawajui wapiga kura awapo humu?!!!!Mkuu hata mm huu waraka nimeutilia shaka....kwanza kiswahili sio fasaha...alafu mbona mwishoni unasema katibu wa almashauri kuu ya taifa itikadi na uenezi...kwani hcho ndo cheo cha nape