NACTE kwa selection za mwaka huu wamelipua, full kubabaisha

NANGA WA KWATA

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
347
232
NACTE wamebabaisha kweli kwa sababu wameshindwa kuweka hata takwimu ya walioapply idadi yao na walioachwa idadi yao na waliochaguliwa pia wametumia sifa gani kuwachagua.

Hii nchi imepoteza mwelekeo kwa upande wa elimu full chenga hata guidebook zao hazina muongozo wa kueleweka. Mfano: Ualimuna kozi ambazo zipo wazi
 
ngoja kesho ntaenda nacte kuwauliza kigezo kilichotumika mkuu koz nipo karibu nao hata rafiki yangu muhanga wakat anasifa kubwa ukilinganisha na vigezo vyao
pia ndugu yangu nae katoswa hali ya kua ana div2 ya 2015 akiwa na B ya bios na mengineyo c alichagua CO
 
ngoja kesho ntaenda nacte kuwauliza kigezo kilichotumika mkuu koz nipo karibu nao hata rafiki yangu muhanga wakat anasifa kubwa ukilinganisha na vigezo vyao
pia ndugu yangu nae katoswa hali ya kua ana div2 ya 2015 akiwa na B ya bios na mengineyo c alichagua CO
UMEONGEA LOGIC MKUU
 
Mimi nahisi wanafanya biashara na vyuo vya private ili waache kuchagua watu makusudi kwenye vyuo vya serikali halafu baadaye huyo mtu atume mara ya pili achukuliwe private.Kwa nini nasema hivi haingii akilini kumwancha mtu ambaye kila vigezo walivyo weka anavyo na kupitiliza juu.Maajabu ya Musa wanarudisha guidebook inayoonesha chuo hicho ambacho mtu huyo alicho kuwa ameomba capacity yake ni ile ile mfano kama ni 100 basi imerudi kuwa 100 cha kushangaza zaidi vigezo bado ni vile vile wanavyotaka ambavyo alivyo kuwa navyo huyo mtu.Kwa maana hiyo hakuna hata mmoja aliye chaguliwa chuo husika. Kweli hapa kuna haja ya kufuata IT kutoka Rwanda maana hawa wa Kitanzania full ubabaishaji.
 
Mimi nahisi wanafanya biashara na vyuo vya private ili waache kuchagua watu makusudi kwenye vyuo vya serikali halafu baadaye huyo mtu atume mara ya pili achukuliwe private.Kwa nini nasema hivi haingii akilini kumwancha mtu ambaye kila vigezo walivyo weka anavyo na kupitiliza juu.Maajabu ya Musa wanarudisha guidebook inayoonesha chuo hicho ambacho mtu huyo alicho kuwa ameomba capacity yake ni ile ile mfano kama ni 100 basi imerudi kuwa 100 cha kushangaza zaidi vigezo bado ni vile vile wanavyotaka ambavyo alivyo kuwa navyo huyo mtu.Kwa maana hiyo hakuna hata mmoja aliye chaguliwa chuo husika. Kweli hapa kuna haja ya kufuata IT kutoka Rwanda maana hawa wa Kitanzania full ubabaishaji.


halafu kwanini kila siku hawa nacte, kila mtu analalamika kuhusu nacte, kiukweli kuna haja ya mabadiliko ya kiuongozi katika baraza hili.

haiwezekani wanaweka course halafu mtu hachaguliwi na mfano mzuri ni kwa waliomba diploma in primary education, hakuna aliechaguliwa na watu wanavigezo lukuki, hili ni jipu maana haiwezekani watanzania watapeliwe pesa
 
Ninawasiwasi hata walioomba degree wakapatwa na ujasiliamali wa NACTE kwenye vyuo vya binafsi.
 
Ninawasiwasi hata walioomba degree wakapatwa na ujasiliamali wa NACTE kwenye vyuo vya binafsi.
Diploma in higher education hakuna mtu aliechaguliwa nadhani sasa hivi wako wananegotiatena vyuo vya private ili wawachague
 
ngoja kesho ntaenda nacte kuwauliza kigezo kilichotumika mkuu koz nipo karibu nao hata rafiki yangu muhanga wakat anasifa kubwa ukilinganisha na vigezo vyao
pia ndugu yangu nae katoswa hali ya kua ana div2 ya 2015 akiwa na B ya bios na mengineyo c alichagua CO
 
mbona wapi fresh tu.......wewe ndo una force wawe kama unavyotaka
Naomba kujuzwa jinsi ya kuona hayo majina ya waliochaguliwa. Na kama mtualiomba direct chuoni inakuaje?
ngoja kesho ntaenda nacte kuwauliza kigezo kilichotumika mkuu koz nipo karibu nao hata rafiki yangu muhanga wakat anasifa kubwa ukilinganisha na vigezo vyao
pia ndugu yangu nae katoswa hali ya kua ana div2 ya 2015 akiwa na B ya bios na mengineyo c alichagua CO

UMEONGEA LOGIC MKUU

Mimi nahisi wanafanya biashara na vyuo vya private ili waache kuchagua watu makusudi kwenye vyuo vya serikali halafu baadaye huyo mtu atume mara ya pili achukuliwe private.Kwa nini nasema hivi haingii akilini kumwancha mtu ambaye kila vigezo walivyo weka anavyo na kupitiliza juu.Maajabu ya Musa wanarudisha guidebook inayoonesha chuo hicho ambacho mtu huyo alicho kuwa ameomba capacity yake ni ile ile mfano kama ni 100 basi imerudi kuwa 100 cha kushangaza zaidi vigezo bado ni vile vile wanavyotaka ambavyo alivyo kuwa navyo huyo mtu.Kwa maana hiyo hakuna hata mmoja aliye chaguliwa chuo husika. Kweli hapa kuna haja ya kufuata IT kutoka Rwanda maana hawa wa Kitanzania full ubabaishaji.

halafu kwanini kila siku hawa nacte, kila mtu analalamika kuhusu nacte, kiukweli kuna haja ya mabadiliko ya kiuongozi katika baraza hili.

haiwezekani wanaweka course halafu mtu hachaguliwi na mfano mzuri ni kwa waliomba diploma in primary education, hakuna aliechaguliwa na watu wanavigezo lukuki, hili ni jipu maana haiwezekani watanzania watapeliwe pesa

Ninawasiwasi hata walioomba degree wakapatwa na ujasiliamali wa NACTE kwenye vyuo vya binafsi.

Diploma in higher education hakuna mtu aliechaguliwa nadhani sasa hivi wako wananegotiatena vyuo vya private ili wawachague


kwel kAbsa mm nna dv3 ya24 dp primary lakn nmeachw
 
Me nataka ni apply second round Juma tatu

Nilipata BBB flat masomo yote 2013

Vyuo vya serikal nitakosa clinical medical???
vyuo vya serikali vyote vimejaa,,mie hapa nimemaliza kuapply saivi nina one ya point 16 mwaka 2008,,,nimekosa chuo cha serikali nimeamua kuapply HAYDOM nimewapigia simu wanasema ada ni 2m kwa mwaka kila kitu humo na kula na hostel yaani siaamini hata kidogo,,hapa nawaza
 
vyuo vya serikali vyote vimejaa,,mie hapa nimemaliza kuapply saivi nina one ya point 16 mwaka 2008,,,nimekosa chuo cha serikali nimeamua kuapply HAYDOM nimewapigia simu wanasema ada ni 2m kwa mwaka kila kitu humo na kula na hostel yaani siaamini hata kidogo,,hapa nawaza
Hadi vya engineering course vimejaa? Mfano ATC
Au ni kwa vile vya health allied science tu
 
Back
Top Bottom