Nachukia sana Binti/Mwanamke mzuri akiniita "Mpendwa"

Kule Kwetu

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
3,157
1,890
Habarini Wakuu,

Nachukia sana hii tabia, yaani unakutana na binti mzuri kweli kila eneo na zaidi unakuta yupo single hajaolewa. Basi ukianza mazoea naye anawasiliana nawewe ila anakufanya kama mpendwa mpendwa hivi.

Halafu kumtransform from upendwa tu mpenzi inatake kamuda kidogo.

Kwa uzoefu wangu binti akishakuita mpendwa atakuwa anakuambia tu mambo ya kanisani na kipendwa kipendwa hivi, kwanini binti mrembo usiniite "Mpenzi" ?

Mnaninyima nini na huo upendwa?

ACHENI HIZO MAMBO WAREMBO.
 
Itakuwa unawafata fata watoto wa wachungaji ndomana,
Lisen Dude, mambo ya kipendwa pendwa yanakwenda kiupendwa pendwa ivyo ivyo
 
Habarini Wakuu,

Nachukia sana hii tabia, yaani unakutana na binti mzuri kweli kila eneo na zaidi unakuta yupo single hajaolewa. Basi ukianza mazoea naye anawasiliana nawewe ila anakufanya kama mpendwa mpendwa hivi.

Halafu kumtransform from upendwa tu mpenzi inatake kamuda kidogo.

Kwa uzoefu wangu binti akishakuita mpendwa atakuwa anakuambia tu mambo ya kanisani na kipendwa kipendwa hivi, kwanini binti mrembo usiniite "Mpenzi" ?

Mnaninyima nini na huo upendwa?

ACHENI HIZO MAMBO WAREMBO.
Inakera sana, hasa unapojaribu kumuweka karibu ili agegedwe alafu anaanza kukupa habari za kuponda tabia za kiasherati, mara anataka akuombee eti uijue kweli, mfyuuu!!
 
Kwa waoaji hiyo ni sifa nzuri sana na yenye thamani kubwa sana maana moja kwa moja inaashiria binti ana hofu ya Mungu na huyo ndo atakuja kuwa mke mwema ...Ila kwa wale wa Eat and Run hicho ni kikwazo..
 
Kwa waoaji hiyo ni sifa nzuri sana na yenye thamani kubwa sana maana moja kwa moja inaashiria binti ana hofu ya Mungu na huyo ndo atakuja kuwa mke mwema ...Ila kwa wale wa Eat and Run hicho ni kikwazo..
Habari za muda huu mpendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom