kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Kumekuwa na mjadala mzito juu ya uwezo wa Julius Mtatiro na John Mnyika, natoa changamoto watu watafute ukweli wa hili ila mwishowe watakuja kubaini kuwa Mtatiro anaweza kujenga hoja na ku-take risk anaweza kufanya maamuzi magumu na ya hatari tofauti na Mnyika mwenye uwezo wa kujenga hoja lakini ni mwoga sana kuchukua uamuzi mzito au wa hatari.
Huu ni ukweli hata kama nitakuwa nimewaudhi watu fulani ila ukeli sharti usemwe bila kupindisha neno kuwa Mtatiro ni jembe natamani sana uchaguzi ufanyike leo kisha mchuano wa Mtatiro VS Mnyika urudiwe kisha tupime hoja!
Huu ni ukweli hata kama nitakuwa nimewaudhi watu fulani ila ukeli sharti usemwe bila kupindisha neno kuwa Mtatiro ni jembe natamani sana uchaguzi ufanyike leo kisha mchuano wa Mtatiro VS Mnyika urudiwe kisha tupime hoja!