ntaenda na mimi nikapite tu ili .....manake jua limezd jooooto mweeeee!!!
Hivi chupi sio nguo??????????????????
Akashtaki kokote!
Kwani alilazimishwa kuvua nguo zote au alitaka mwenyewe kuvua? Mbona inapotokea kuwa mashine imetoka mlio unapopita wanakukagua bila kukutoa nguo zako! Mimi nashangaa hawa wazungu. Wakiwa kwetu wanataka wasipitie taratibu.Kitendo cha yeye " kuvua nguo zote" nakitafsiri kama dharau.Huko kwao tukienda mbona tunasumbuliwa hivyo hivyo tena kibaya zaidi wanaweza kuacha kila mtu wakakuchukua wewe mtu mweusi na kusema computer imeku pick randomly for thorough search..huwa hatupendi lakini kwa vile ni sheria za usalama basi huwa tunakubali.Tena wakati mwingine wanakulazimisha utoe viatu wavifanyie swabbing..vyote tunapambana navyo na hatujawahi kutishia kwenda kushtaki kokote.Hizi taratibu za ukaguzi ni za kimataifa..akashtaki popote!
Mmemchelewesha angeshitakiwa yeye kwa utovu wake!