Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Mhe. Mzindakaya ameishambulia Serikali ya Tanzania kwa kuendekeza misaada ya nje. Alienda mbali kwa kusema kwamba viongozi wetu ni wapiga porojo tu.
Source:
Channel Ten. Kipindi cha HAMZA KASONGO HOUR usiku wa tarehe 9 Septemba 2012.
Source:
Channel Ten. Kipindi cha HAMZA KASONGO HOUR usiku wa tarehe 9 Septemba 2012.