William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Ninatamani sana Mzee Mtei angerudi kuchukua nafasi ya Ndulu! Ninafikiri baada ya kuondoka kwa Mzee Kawawa, somebody is trying to use hii nafasi kuondoa wazee waliobaki aingie kwenye power na kutupeleka pabaya, hii ya wazee wa Mtandao wa Lowassa, kina Kimiti na Mzindakaya na kule Kisumo, nina wasi wasi nayo sana na what is the motive behind hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi!
- It is a high time sasa kina Mzee Mtei wakarudi huko BOT kuokoa jahazi, maana sasa hili taifa tunakwenda chini tu, hatuwezi tena kwenda juu na kina Ndulu na the likes!
Respect.
FMEs!
- It is a high time sasa kina Mzee Mtei wakarudi huko BOT kuokoa jahazi, maana sasa hili taifa tunakwenda chini tu, hatuwezi tena kwenda juu na kina Ndulu na the likes!
Respect.
FMEs!