kamanda wa kamanda
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 191
- 75
Mkuu wa Oparesheni na Hamasa kanda ya nyanda za juu kusini chadema kamanda mkuu Jonh Mwambigija ameahidi kuimaliza Ccm katika Chaguzi ndogo za Udiwani ambapo mkoa wa mbeya kuna kata mbili zilizo kua za ccm akiongea na vyombo vya habari amesema kua ni lazima ushindi upatikane kwa Chadema katika mkoa wa mbeya iringa na njombe amesisitiza kua kama kawaida Ushindi ni lazima kwa Chadema