Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Hii nimeipata asubuhi hii. Mchungaji Antony Lusekelo, Mzee wa Upako' amepata ajali kwa kumgonga mwendesha pikipiki na yeye kulitelekeza gari lake eneo la tukio kwa kutoka mbio na kutokomea kusiko julikana.
Kwa mujibu wa shuhuda, ajali hiyo imetokea asubuhi hii eneo la River Side Ubungo.
Mwenye taarifa zaidi atuhabarishe.
Kwa mujibu wa shuhuda, ajali hiyo imetokea asubuhi hii eneo la River Side Ubungo.
Mwenye taarifa zaidi atuhabarishe.