Leo hii imedhihirika katika mechi na Zambia.
Pamoja na timu ya zambia kuonekana kupoteza matumaini kwa kucheza pungufu na kadi kibao za njano lakini wapi bwana!!!....bado kichwa cha mwendawazimu kimenyolewa.
Kwa mechi hii ya leo mmethibitisha udhaifu mkubwa, hata asiye kuwa mtaalamu wa mpira anaweza kubaini.
Tunasafari ndefu ya kujenga timu imara ya Taifa yenye muunganiko wenye viwango.
Pamoja na timu ya zambia kuonekana kupoteza matumaini kwa kucheza pungufu na kadi kibao za njano lakini wapi bwana!!!....bado kichwa cha mwendawazimu kimenyolewa.
Kwa mechi hii ya leo mmethibitisha udhaifu mkubwa, hata asiye kuwa mtaalamu wa mpira anaweza kubaini.
Tunasafari ndefu ya kujenga timu imara ya Taifa yenye muunganiko wenye viwango.