kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Nilifuatilia hotuba ya Mzee Mwinyi jana, ana busara sana! japo watu walikuwa wanamshangilia lakini nafikiri wengi hawakumuelewa, aidha walitekwa na kadamnasi au ni mtindo tu. ukipata fursa msikilize tena aliyoongea ni upanga unaokata kuwili. kama kuna mwana jamvi mwenye ile hotuba ilete humu tuitafakari zaidi.