Hivi, is there any way we can kick out these Arabs from Loliondo when Tanzania is finally liberated from these fisadis?
Ni aibu.
Inaamuriwa mikataba yote isiyokuwa na manufaa kwa wenye nchi inafutwa!
Hivi, is there any way we can kick out these Arabs from Loliondo when Tanzania is finally liberated from these fisadis?
Ni aibu.
Hivi huyu mzee ana nyumba ngapi alizopangisha? Na je, kama raia wa kawaida analipa kodi ya mapato ya nyumba za kupangisha? TRA mpo?
kwi!kwiiiii! Na nani?
Kwa vipi? Sote tunataka utawala wa sheria na haki. Kama una mradi wa nyumba za kupangisha na unalipia kodi hamna neno. Lakini nahisi hapa Mwinyi alitumia cheo chake (kinyume na kanuni za CCM) kujipatia nyumba za kupangisha.
NI kweli mkuu, Batenga alikwenda kuyachukua matofali hayo baada ya kuandika barua na kufoji saini ya JKN, walinzi walipoangalia saini wakajua ni ya Mzee wakamruhusu ayachukue.Nilisikia Batenga alimwibia Nyerere matofali. Lakini sijuhi ukweli wa stori hii. Wanasema Nyerere alikuwa akirudi kutoka kazini alikuwa anafyatua matofali hili ajijengee nyumba.
Batenga alijiunga kumsaidia kwenye kazi hiyo. Baada ya siku kupita na matofali kuwa mengi, Batenga akaleta gari wakati mwalimu akiwa ziarani. Akawaambia walinzi au waliobaki nyumbani kuwa mwalimu kamwambia achukue matofali.
Kwa sababu alikuwa anafanya kazi na mwalimu, wakamwambia achukue. Mwalimu aliporudi akakuta eneo la matofali leupe.
Hivi hii ni laana au nini??Hivi huyu mzee ana nyumba ngapi alizopangisha? Na je, kama raia wa kawaida analipa kodi ya mapato ya nyumba za kupangisha? TRA mpo?
Afu unayesema hivyo una kibanda chako bongo unawalipisha watu wakati wewe mwenyewe upo Marikani. Je unalipa kodi Jasusi.
Hivi Mama Siti alimkimbia? Naona juzi ameenda Malawi na mke mwingine sijawahi kumsikiaHivi hii ni laana au nini??
Kukimbiwa na mke,
kupigwa vibao,
kuibiwa.....
ohhhh ni kilio cha watanzania baada ya kuuzwa kwa Loliondo gate
naye soon atakimbia, si unaona mali zinazidi kupukutika??Hivi Mama Siti alimkimbia? Naona juzi ameenda Malawi na mke mwingine sijawahi kumsikia
Nchi yetu imejaa viwanda vya uongo, kuanzia JK mpaka raia wake.Hivi Mama Siti alimkimbia? Naona juzi ameenda Malawi na mke mwingine sijawahi kumsikia
ukiona mmiliki wa property anawatumia hawa jamaa (on red) ujue anajiamini na jinsi alivyozipata na analipa kodi vilevileHow could an ex-President, with a minister for a son, use a streetwise agent beats me. Doesn't he know Knight Frank and the likes? Ridiculous......:embarassed2::eyebrows::lol: