BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
| ||
|
| ||
|
Hivi, is there any way we can kick out these Arabs from Loliondo when Tanzania is finally liberated from these fisadis?Acha naye alizwe maana aliwaliza watanzania na kuanzisha mfumo wa kifisadi unaotusumbua. Nikikumbuka yeye na Muhuni Muhiddin Ndolanga walivyouza Loliondo kwa Brig. Ali natamani ninywe damu ya hiki kibabu kinafiki na kijizi.
Tusimulie basi kisa cha Batenga. Wengine hatukuwepo. Lakini hii si mara ya kwanza Mzee Mwinyi anaingizwa mjini. Alipokuwa anamaliza muhula wake pale Ikulu, aliondoka na baadhi ya fenicha na mfanyikazi wake mmoja naye akaondoka na baadhi ya mali zake. Alishindwa kumfungulia mashtaka.Bado natafakari jinsi huyu kijana eti anadaiwa KUMUIBIA Mzee Mwinyi!!!............halafu jamaa yuko rumande!!!..........Wakala kamuibia Mteja wake!!....halafu Mteja mwenyewe Rais Mstaafu wa URT!!!.........
.......hii inanikumbusha kisa cha Batenga na JKN............
Tusimulie basi kisa cha Batenga. Wengine hatukuwepo. .........
Jasusi, maswali yanayofatia : 1. Nyumba ilianza kupangishwa tangu lini? 2. Kodi ya mapato imeanza kutolewa tangu lini?Hivi huyu mzee ana nyumba ngapi alizopangisha? Na je, kama raia wa kawaida analipa kodi ya mapato ya nyum
ba za kupangisha? TRA mpo?
Jasusi, maswali yanayofatia : 1. Nyumba ilianza kupangishwa tangu lini? 2. Kodi ya mapato imeanza kutolewa tangu lini?
Tusimulie basi kisa cha Batenga. Wengine hatukuwepo. Lakini hii si mara ya kwanza Mzee Mwinyi anaingizwa mjini. Alipokuwa anamaliza muhula wake pale Ikulu, aliondoka na baadhi ya fenicha na mfanyikazi wake mmoja naye akaondoka na baadhi ya mali zake. Alishindwa kumfungulia mashtaka.
KODI HAKULIPA NA WALA PROPERTY TAX SIJUI KAMA LAIPA. halafu pesa hizo kazitoa wapi kujengea nyumba za kumpatia kodi kubwa hivyo? hawa ndio waliokuwa wnatuhubiria pesa si msingi wa maendeleo , ona leo wanavytapanya mapesssa!Jasusi, maswali yanayofatia : 1. Nyumba ilianza kupangishwa tangu lini? 2. Kodi ya mapato imeanza kutolewa tangu lini?
Aliibiwa matofali
Jasusi, maswali yanayofatia : 1. Nyumba ilianza kupangishwa tangu lini? 2. Kodi ya mapato imeanza kutolewa tangu lini?
Surprise surprise,
Mbowe anasema anataka utawala wa sheria. Naona washabiki wake hamtaki sheria.
Hivi, is there any way we can kick out these Arabs from Loliondo when Tanzania is finally liberated from these fisadis?
Ni aibu.