WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
I also see that MM!Something is very wrong; there is something I don't LIKE about it. Can't point it out yet but it is there...
I also see that MM!Something is very wrong; there is something I don't LIKE about it. Can't point it out yet but it is there...
WA-UKENYENGE hujui kwamba pesa sabuni ya roho? Marijani alikuwa na maana kubwa alipoimba ule wimbo penye udhia penyeza rupia. Wacheni pesa iitwe fedha!I also see that MM!
Iam smelling something fishy.In corporate theory,nothing should go for nothing.
CDM inabidi warudi shule wakasome Portfolio Theory. Naona somo la diversification limewakalia kushoto kabisa. Why always wanategemea source moja ya finance? Tena mbaya zaidi kutoka kwa individual!! Hawawezi kubuni njia nyingine za kuraise fund?
Labda humpendi kwasababu yaKyerefaso kwi! Kwi! Kwi!
CDM inabidi warudi shule wakasome Portfolio Theory. Naona somo la diversification limewakalia kushoto kabisa. Why always wanategemea source moja ya finance? Tena mbaya zaidi kutoka kwa individual!! Hawawezi kubuni njia nyingine za kuraise fund?
Something is very wrong; there is something I don't LIKE about it. Can't point it out yet but it is there...
Rejeo huwezi kukataa pesa zinazo ingia kumbuka kuwa CDM hawaombi msaada kwake bali huyu mzee anaguswa utendaji mzuri wa CDM na anamua kuwasupportCDM inabidi warudi shule wakasome Portfolio Theory. Naona somo la diversification limewakalia kushoto kabisa. Why always wanategemea source moja ya finance? Tena mbaya zaidi kutoka kwa individual!! Hawawezi kubuni njia nyingine za kuraise fund?
Unataka watumie ile njia ya CCM ya kuiba kodi za wananchi nafikiri ndio diversification unayoizungumziaCDM inabidi warudi shule wakasome Portfolio Theory. Naona somo la diversification limewakalia kushoto kabisa. Why always wanategemea source moja ya finance? Tena mbaya zaidi kutoka kwa individual!! Hawawezi kubuni njia nyingine za kuraise fund?
Naona kama Sabodo anawadhalilisha Chadema kwa faida zake binafsi na chama chake cha mafisadi. Huwa siamini wafanya biashara ambao ukiwauliza walivyochuma huo utajiri utakuta ni mafisadi wa kunuka. Hakika penye udhia penye rupia. Chadema wanazidi kuingia kwenye tope la ufisadi.
Mimi nimekuwa nikisikia Sabodo anachangia n kusema atachimba visima lakini sioni am kusikia siku moja CDM wakisema leo tunazindua visima vilivyochimbwa kwa pesa za Sabodo. Hivi mchakato wa kuchimba visima unachukua miaka mingapi?