Mzee Mtambuzi ni mnoko sana.

Toka huyu mzee achukue likizo ya uzazi amempiga marufu Cantalisia kutembea, hata nje tu hatoki anachungulia nje kwa dirishani. Mtambuzi utavunja uchumba wa Rejao hutaki wajukuu zaidi yangu? mruhusu basi leo atoke ni ijumaa.
Watu mna visa nyie..mzee Mtambuzi alishanikabidhi Cantalisia siku nyingi kwa roho nyeupeee..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom