commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
ukawa ni wafinyu wa uelewa wote ni kama waumwa parkinsons aliyeambiwa mpumbavu jana alikuwa sumaye kwa sababu mkapa alimuamini kwa miaka kumi kama waziri mkuu.nchi hii ilishakombolewa na wazee wetu wakiongozwa na mw. nyerere miaka dahali iliopita sasa anakuja mtu anasema anataka kutukomboa ni ukosefu wa akili tena narudia mpumbavu mkubwa
na sumaye mwenyewe wakati akitamka kutia nia ya kuutaka urais kupitia ccm alisema wakimpitisha fisadi lowasa yeye atahama ccm sasa kulikoni kala matapishi yake kama sio upumbavu?