Mzee Kinana yeye na familia yake wamewahi kupanda bodaboda?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
888
4,135
Let us be serious hata kidogo na maisha ya hawa watoto wetu; tujaribu kufanya yale tungependa kufanyiwa. Gharama za matibabu nchini ni kubwa sana, tuwaonee huruma hawa wasiojitambua.

Kama boda boda ni nzuri lini tumewahi kumwona Mzee Kinana au mtoto akiendesha au kubebwa mishikaki kwenye hizo bodaboda? Hawa watoto wazazi wanatumia mamilioni kuwasomesha; tunashangilia kuwaona wanaendesha boda boda tena tukitaka wabebe mishikaki kuongeza kipato.

Haya ndiyo maombi ya kinana kwa watoto wake? Amewahi kutumia maarifa haya ya India kama njia ya watoto wake kupata kipato? Anajua wahindi wenye hadhi gani wanapanda mishikaki?

Huyu mzee anajua ni vijana wangapi wapafu yamejaa maji kutokana na bodaboda? Anajua ni watu wangapi nivilema? Anajua ni watu wangapi leo hii wanatibiwa maradhi mbalimbali na wamelazimika kuuza vyanzo vya magonjwa (bodaboda) wajitibu?

Hizi ni dharau kubwa sana kwa umma wa watanzania.

Pia Soma:
- Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)
 
Muelewe kwanza Makamu Mwenyekiti kabla ya kukimbilia kuanzisha Uzi. Tukubaliane kwanza kwenye haya, Kwanza mtazamo wa Kinana ni kuwa Bodaboda ni chombo Cha usafiri kama vyombo vingine kama Daladala na Taxi. Pili, tukubaliane kwamba mtu halazimishwi kupanda Bodaboda ila inapobidi analazimika kupanda Bodaboda. Tatu, tukubaliane kwamba hoja ya Kinana kutaka mamlaka itoe kibali Bodaboda kupakia abiria Zaidi ya mmoja imejikita katika kanuni za usafirishaji kwamba abiria wengi mapato mengi.

Baada ya kukubaliana katika hayo tuje kwenye mada yako. Unaonekana kulaumu alichosema Kinana kama vile kupanda Bodaboda mtu analazimishwa. Kuuliza kama Kinana au mtoto wake amewahi kupanda Bodaboda hapo ni kutaka kusema Bodaboda ni Kwa baadhi ya watu pengine watu masikini lakini sio kweli ni uamuzi tu mtu anaoona unafaa kupanda Bodaboda au Daladala. Mtu anaweza kuwa tajiri akapanda Daladala nauli 500 lakini masikini akapanda Bodaboda nauli 5000.

Kingine ambacho pengine haukifahamu ni kwamba, ni abiria wenyewe ndio wanataka kupakiwa mishikaki. Mwendesha Bodaboda anafika kituoni anauliza kama abiria wanaenda na anasema mshikaki Kila mtu 2000 au peke yako 4000 abiria wanaona Bora mshikaki.

Hivyo basi, Kinana yupo sahihi kwenye Bodaboda ni ajira rasmi waliojiri humo watafutiwe mbinu za kukuza biashara
 
Let us be serious hata kidogo na maisha ya hawa watoto wetu; tujaribu kufanya yale tungependa kufanyiwa. Gharama za matibabu nchini ni kubwa sana, tuwaonee huruma hawa wasiojitambua.

Kama boda boda ni nzuri lini tumewahi kumwona Mzee Kinana au mtoto akiendesha au kubebwa mishikaki kwenye hizo bodaboda? Hawa watoto wazazi wanatumia mamilioni kuwasomesha; tunashangilia kuwaona wanaendesha boda boda tena tukitaka wabebe mishikaki kuongeza kipato.

Haya ndiyo maombi ya kinana kwa watoto wake? Amewahi kutumia maarifa haya ya India kama njia ya watoto wake kupata kipato? Anajua wahindi wenye hadhi gani wanapanda mishikaki?

Huyu mzee anajua ni vijana wangapi wapafu yamejaa maji kutokana na bodaboda? Anajua ni watu wangapi nivilema? Anajua ni watu wangapi leo hii wanatibiwa maradhi mbalimbali na wamelazimika kuuza vyanzo vya magonjwa (bodaboda) wajitibu?

Hizi ni dharau kubwa sana kwa umma wa watanzania.

Pia Soma:
- Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)
Hii ndio aina ya wanasiasa tuliobakiwa nao Tanzania, wameishiwa hadi bsi.
 
Huyu mzee angepumzishwa kama ilivyokuwa kwa makamba!
Ongea yao ni kuharibu hali ya hewa na lugha za kupuuzi kabisa!
Jeshi la Polisi limdharau huyu mzee na kumpuuza kwa kiwango cha lami!
 
Muelewe kwanza Makamu Mwenyekiti kabla ya kukimbilia kuanzisha Uzi. Tukubaliane kwanza kwenye haya, Kwanza mtazamo wa Kinana ni kuwa Bodaboda ni chombo Cha usafiri kama vyombo vingine kama Daladala na Taxi. Pili, tukubaliane kwamba mtu halazimishwi kupanda Bodaboda ila inapobidi analazimika kupanda Bodaboda. Tatu, tukubaliane kwamba hoja ya Kinana kutaka mamlaka itoe kibali Bodaboda kupakia abiria Zaidi ya mmoja imejikita katika kanuni za usafirishaji kwamba abiria wengi mapato mengi.

Baada ya kukubaliana katika hayo tuje kwenye mada yako. Unaonekana kulaumu alichosema Kinana kama vile kupanda Bodaboda mtu analazimishwa. Kuuliza kama Kinana au mtoto wake amewahi kupanda Bodaboda hapo ni kutaka kusema Bodaboda ni Kwa baadhi ya watu pengine watu masikini lakini sio kweli ni uamuzi tu mtu anaoona unafaa kupanda Bodaboda au Daladala. Mtu anaweza kuwa tajiri akapanda Daladala nauli 500 lakini masikini akapanda Bodaboda nauli 5000.

Kingine ambacho pengine haukifahamu ni kwamba, ni abiria wenyewe ndio wanataka kupakiwa mishikaki. Mwendesha Bodaboda anafika kituoni anauliza kama abiria wanaenda na anasema mshikaki Kila mtu 2000 au peke yako 4000 abiria wanaona Bora mshikaki.

Hivyo basi, Kinana yupo sahihi kwenye Bodaboda ni ajira rasmi waliojiri humo watafutiwe mbinu za kukuza biashara
Hopeless.
Huoni hatari katika usalama wa abiria?.
 
Boda boda ni salama zaidi wanapopanda watu watatu kuliko anavyopanda mtu mmoja au wawili.
Kadri mzigo unavyoongezeka bodaboda inakuwa ni nzito kukimbia (kuchanganya/ ku accelerate) lakini pia inakuwa ni nyepesi kusimama.
Boda boda akipanda mtu mmoja, ukishika break inatereza kama pasi juu ya nguo hivyo kuongeza uwezekano wa kutokea ajali.
 
Muelewe kwanza Makamu Mwenyekiti kabla ya kukimbilia kuanzisha Uzi. Tukubaliane kwanza kwenye haya, Kwanza mtazamo wa Kinana ni kuwa Bodaboda ni chombo Cha usafiri kama vyombo vingine kama Daladala na Taxi. Pili, tukubaliane kwamba mtu halazimishwi kupanda Bodaboda ila inapobidi analazimika kupanda Bodaboda. Tatu, tukubaliane kwamba hoja ya Kinana kutaka mamlaka itoe kibali Bodaboda kupakia abiria Zaidi ya mmoja imejikita katika kanuni za usafirishaji kwamba abiria wengi mapato mengi.

Baada ya kukubaliana katika hayo tuje kwenye mada yako. Unaonekana kulaumu alichosema Kinana kama vile kupanda Bodaboda mtu analazimishwa. Kuuliza kama Kinana au mtoto wake amewahi kupanda Bodaboda hapo ni kutaka kusema Bodaboda ni Kwa baadhi ya watu pengine watu masikini lakini sio kweli ni uamuzi tu mtu anaoona unafaa kupanda Bodaboda au Daladala. Mtu anaweza kuwa tajiri akapanda Daladala nauli 500 lakini masikini akapanda Bodaboda nauli 5000.

Kingine ambacho pengine haukifahamu ni kwamba, ni abiria wenyewe ndio wanataka kupakiwa mishikaki. Mwendesha Bodaboda anafika kituoni anauliza kama abiria wanaenda na anasema mshikaki Kila mtu 2000 au peke yako 4000 abiria wanaona Bora mshikaki.

Hivyo basi, Kinana yupo sahihi kwenye Bodaboda ni ajira rasmi waliojiri humo watafutiwe mbinu za kukuza biashara
Ingefaa jambo hili liachiwe wahusika: usalama kuhusu vyombo vya moto, afya na sheria.
Suala la uchumi haliwezi kuwa kigezo hapa! Mfano, watu waruhusiwe kulima kwenye vyanzo vya maji kisa wanataka kuongeza kipato?
Haya mambo yanakuwa determined na mazingira na hali za watumiaji. Kule vijijini bodaboda inabeba zaidi ya kirikuu mnajua. Mijini hii hali ni tofauti.
Polisi watoe elimu kuhusu usalama, watu wa afya nao watoe elimu kuhusu madhara ya kiafya kujazana kwenye bodaboda.
Haipaswi kuingiza siasa katika hili jambo.
 
Muelewe kwanza Makamu Mwenyekiti kabla ya kukimbilia kuanzisha Uzi. Tukubaliane kwanza kwenye haya, Kwanza mtazamo wa Kinana ni kuwa Bodaboda ni chombo Cha usafiri kama vyombo vingine kama Daladala na Taxi. Pili, tukubaliane kwamba mtu halazimishwi kupanda Bodaboda ila inapobidi analazimika kupanda Bodaboda. Tatu, tukubaliane kwamba hoja ya Kinana kutaka mamlaka itoe kibali Bodaboda kupakia abiria Zaidi ya mmoja imejikita katika kanuni za usafirishaji kwamba abiria wengi mapato mengi.

Baada ya kukubaliana katika hayo tuje kwenye mada yako. Unaonekana kulaumu alichosema Kinana kama vile kupanda Bodaboda mtu analazimishwa. Kuuliza kama Kinana au mtoto wake amewahi kupanda Bodaboda hapo ni kutaka kusema Bodaboda ni Kwa baadhi ya watu pengine watu masikini lakini sio kweli ni uamuzi tu mtu anaoona unafaa kupanda Bodaboda au Daladala. Mtu anaweza kuwa tajiri akapanda Daladala nauli 500 lakini masikini akapanda Bodaboda nauli 5000.

Kingine ambacho pengine haukifahamu ni kwamba, ni abiria wenyewe ndio wanataka kupakiwa mishikaki. Mwendesha Bodaboda anafika kituoni anauliza kama abiria wanaenda na anasema mshikaki Kila mtu 2000 au peke yako 4000 abiria wanaona Bora mshikaki.

Hivyo basi, Kinana yupo sahihi kwenye Bodaboda ni ajira rasmi waliojiri humo watafutiwe mbinu za kukuza biashara
mtengeneza chombo (pikipiki) aliitengeneza iwe na capacity ya kubeba watu wangapi. kwanini unamsapoti mpuuzi huyo, aliyejaa dharau na viburi. badala yeye kuleta hoja ya kujikwamua kutoka umasikinini, yeye anakuja na ishu za hovyo kwenye maisha ya watu.

Yesu ni Kristo
 
Let us be serious hata kidogo na maisha ya hawa watoto wetu; tujaribu kufanya yale tungependa kufanyiwa. Gharama za matibabu nchini ni kubwa sana, tuwaonee huruma hawa wasiojitambua.

Kama boda boda ni nzuri lini tumewahi kumwona Mzee Kinana au mtoto akiendesha au kubebwa mishikaki kwenye hizo bodaboda? Hawa watoto wazazi wanatumia mamilioni kuwasomesha; tunashangilia kuwaona wanaendesha boda boda tena tukitaka wabebe mishikaki kuongeza kipato.

Haya ndiyo maombi ya kinana kwa watoto wake? Amewahi kutumia maarifa haya ya India kama njia ya watoto wake kupata kipato? Anajua wahindi wenye hadhi gani wanapanda mishikaki?

Huyu mzee anajua ni vijana wangapi wapafu yamejaa maji kutokana na bodaboda? Anajua ni watu wangapi nivilema? Anajua ni watu wangapi leo hii wanatibiwa maradhi mbalimbali na wamelazimika kuuza vyanzo vya magonjwa (bodaboda) wajitibu?

Hizi ni dharau kubwa sana kwa umma wa watanzania.

Pia Soma:
- Kinana kuongea na mamlaka bodaboda wabebe abiria zaidi ya 1 (mshikaki)
Hatutolewi kirahisi kwenye mjadala wa BANDARI 🙏🙏🙏

Spana ziendelee!!
 
Muelewe kwanza Makamu Mwenyekiti kabla ya kukimbilia kuanzisha Uzi. Tukubaliane kwanza kwenye haya, Kwanza mtazamo wa Kinana ni kuwa Bodaboda ni chombo Cha usafiri kama vyombo vingine kama Daladala na Taxi. Pili, tukubaliane kwamba mtu halazimishwi kupanda Bodaboda ila inapobidi analazimika kupanda Bodaboda. Tatu, tukubaliane kwamba hoja ya Kinana kutaka mamlaka itoe kibali Bodaboda kupakia abiria Zaidi ya mmoja imejikita katika kanuni za usafirishaji kwamba abiria wengi mapato mengi.

Baada ya kukubaliana katika hayo tuje kwenye mada yako. Unaonekana kulaumu alichosema Kinana kama vile kupanda Bodaboda mtu analazimishwa. Kuuliza kama Kinana au mtoto wake amewahi kupanda Bodaboda hapo ni kutaka kusema Bodaboda ni Kwa baadhi ya watu pengine watu masikini lakini sio kweli ni uamuzi tu mtu anaoona unafaa kupanda Bodaboda au Daladala. Mtu anaweza kuwa tajiri akapanda Daladala nauli 500 lakini masikini akapanda Bodaboda nauli 5000.

Kingine ambacho pengine haukifahamu ni kwamba, ni abiria wenyewe ndio wanataka kupakiwa mishikaki. Mwendesha Bodaboda anafika kituoni anauliza kama abiria wanaenda na anasema mshikaki Kila mtu 2000 au peke yako 4000 abiria wanaona Bora mshikaki.

Hivyo basi, Kinana yupo sahihi kwenye Bodaboda ni ajira rasmi waliojiri humo watafutiwe mbinu za kukuza biashara
Angesema zitengenezwe toroli zinazoweza kuvutwa na pikipiki ili zipakie watu zaidi ningemwelewa !
Lakini pikipiki ambayo ina matairi mawili na bodi lake ni nyinyi mliopanda halafu uongeze tena na mishikaki !🙄

Hiyo itakuwa ni hati ya kifo !!
 
Boda boda ni salama zaidi wanapopanda watu watatu kuliko anavyopanda mtu mmoja au wawili.
Kadri mzigo unavyoongezeka bodaboda inakuwa ni nzito kukimbia (kuchanganya/ ku accelerate) lakini pia inakuwa ni nyepesi kusimama.
Boda boda akipanda mtu mmoja, ukishika break inatereza kama pasi juu ya nguo hivyo kuongeza uwezekano wa kutokea ajali.
Labda unazungumzia honda trail 90 !! Sio Boxer 150 !!
 
Shida ni kwamba wanasiasa walishazoea kutoa ufafanuzi kwenye mambo yaliyo nje ya taaluma zao, linapokuja suala linalohusu taaluma flani ni bora waachie kada husika ndio itoe ufafanuzi.
Wanasiasa heshimuni taaluma za watu jamani hili ni suala la VECO.
 
Back
Top Bottom