The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Kuna wakati haya majina yalijipatia umaarufu mkubwa sana hapa nchini kutokana na kuchangia mijadala mbalimbali ya kisiasa kidini na kijamii.
Hawa walikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakichangia mada mbalimbali zilizoletwa na ukisikiliza michango yao unapanuka sana kiufahamu na kiuelewa.
Kama kuna mtu anajua hawa watu wanafanyia wapi mijadala siku hizi naomba anisaidie natamani niendelee kuwafuatilia!
Hawa walikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakichangia mada mbalimbali zilizoletwa na ukisikiliza michango yao unapanuka sana kiufahamu na kiuelewa.
Kama kuna mtu anajua hawa watu wanafanyia wapi mijadala siku hizi naomba anisaidie natamani niendelee kuwafuatilia!