muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,464
- 10,040
Alale anapostahili,ni pigo kwa tasnia ya maigizo Tanzania.
Ni mzee Dude na si Dude wakuu
Punzika kwa amani
shosti mzima
heri ya mwaka mpya mie nawe haujazeeka
Futuhi ndo nn, btw RIP
RIP Mzee Dude, FUTUHI ni nini?
kwani we unaishi nnchi gani mpaka hujui futui,