mahali panapostahili sawa,kama alitenda mema apokele kam alimwasi mungu basi aende panapofaa.ila nji amoja hapana maana njia yake uijui ndugu yangu mzee sawa sawa?nadhani umenielewamungu ailaze roho ya marehemu mahali panapostahili. Sote ni njia moja.
Mkurugenzi wa zamani wa RTD , Mzee DAVID WAKATI amefariki dunia leo asubuhi katika hospital ya Regency Upanga. Mzee David Wakati tutakukumbuka kwa umahiri wako katika kazi. Ulikuwa mzalendo wa kweli!!
Bwana ametoa na Bwana ametwaa