multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,030
- 576
Wakuu.
Hivi tunaposema yuko kizuizini tuna maana kuwa yuko Gerezan ama ?
Mimi sielewi kabisa aisee
Kuwekwa kiuzini kwa Mzee Jumbe ni kitendo cha Nyinyiemu kutomshirikisha kwa lolote kwenye historia ya nji hii.
Bila kujalinafasi zake alizoshika.