Mzazi aliejikuta mzungu kumpa simu mtoto wa shule ya msingi yamtokea puani, Mtoto kaanza kucheki X na kujichua akiwa na miaka 8 tu

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
377
1,077
Muhimu: wanaodhani mtoto wa miaka 8 hawezi kujihusisha na ngono basi niwaelimishe kwamba haya mambo yapo, isiopokuwa tu wao umri huo hufanya kwa kuiga tu, hufanya bila kujua ni kwa nini anafanya, viungo vyao bado havijakomaa.

Niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

Watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

Wazazi wake wanamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Kumpa mtoto simu siyo jambo baya ila tuzingatie haya ::

  • Unapompa mtoto simu hakikisha wewe uwe admin wa simu kisha unamsetia restricted mode / parental control mode /kids mode, hii inasaidia kuzuia access ya mambo ya kikubwa pia asishinde sana kwenye simu.
  • Mnunulie mtoto wako kitochi, ni simu zisizo na mambo mengi ila mnaweza kuwasiliana, kujua alipo, n.k.
  • hakikisha humwachii mtoto simu yenye bundle / data, download vitu anavyopenda, mwekee muvi / latuni / games anazopenda.
 
Kumpa mtoto simu akiwa na miaka nane kwa mazingira yetu naona sio sahihi, Bora game consoles hapo afadhali... Wenzetu wanaweza maana Wana technology kubwa ya kuzuia access ya mambo ya kijinga, hata huyo mzazi angejua Kuna namna ya kufanya parental controlling kwenye devices unaweka na password kabisa hawezi Kuona mambo ya kijinga


Nchi kama china wamejitahidi kwa kiasi kuzuia explicit materials mtandaoni maana inadumaza akili, huku kwetu ukiingia mtandao kama Twitter yaani ile trending In Tanzania unakuta ni neno ' msenge' ukibahatika sana unakuta neno 'yanga' au 'simba' siku za mechi, inaumiza sana
 
niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

wazazo wake wamamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Wazazi tuwe makini sana na hizi teknolojia.

1. Mpe mtoto simu ukiwa umezima data
2. Mnunulie mtoto simu yake unayoweza kukagua kila anachofanya kwenye history
3. Kama umefunga wifi nyumbani hakikisha watoto wanapata access ukiwepo wewe na kujua wanachofanya
huyo mtoto wa miaka nane ni KE au ME? kama ni ME akijichua wazungu watakoka wapi wakati bado mabao kukomaa. Kama ni KE walimkuta na dildo au tango?
 
niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

wazazo wake wamamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Wazazi tuwe makini sana na hizi teknolojia.

1. Mpe mtoto simu ukiwa umezima data
2. Mnunulie mtoto simu yake unayoweza kukagua kila anachofanya kwenye history
3. Kama umefunga wifi nyumbani hakikisha watoto wanapata access ukiwepo wewe na kujua wanachofanya
Hiyo " kujidai mzungu haijakaa vizuri mkuu"

Mi nililazimika kumpa simu tena simu janja binti ysngu akiwa miaka 14. Kibasila sec mpaka tabata foleni alikuwa anafila saa 2 usiku usiku au zaidi. Wako wawili ila mdogo ndio nilimpa simu watumie wote. Wote wslisoma hapo.
Kwa kifupi niliacha kuwa na stress ikifika jioni mawasiliano yalikuwepo.
Sasa kamaliza mzumbe na ameajiriwa ma mwenzake kamaliza Makerere university wameajiriwa na wanajitegemea.
Tusiwaone wazungu kama
Wao ndio kila kitu.
 
Ebwana hiyo imemkuta mfanyakazi mwenzangu amemnunulia mwanaye yupo form two laptop na simu janja
Ebwana kuja kushangaa binti anapiga ukunga chumbani...
Kuchunguza ana mavideo ya kujichua kibao
 
Hiyo " kujidai mzungu haijakaa vizuri mkuu"

Mi nililazimika kumpa simu tena simu janja binti ysngu akiwa miaka 14. Kibasila sec mpaka tabata foleni alikuwa anafila saa 2 usiku usiku au zaidi. Wako wawili ila mdogo ndio nilimpa simu watumie wote. Wote wslisoma hapo.
Kwa kifupi niliacha kuwa na stress ikifika jioni mawasiliano yalikuwepo.
Sasa kamaliza mzumbe na ameajiriwa ma mwenzake kamaliza Makerere university wameajiriwa na wanajitegemea.
Tusiwaone wazungu kama
Wao ndio kila kitu.
Aiseeeeee, mwaka gani hizo smartphone mkuu wakiwa na miaka 14 na sasa wamemaliza chuo kikuu?
 
Kumpa mtoto simu akiwa na miaka nane kwa mazingira yetu naona sio sahihi, Bora game consoles hapo afadhali... Wenzetu wanaweza maana Wana technology kubwa ya kuzuia access ya mambo ya kijinga, hata huyo mzazi angejua Kuna namna ya kufanya parental controlling kwenye devices unaweka na password kabisa hawezi Kuona mambo ya kijinga


Nchi kama china wamejitahidi kwa kiasi kuzuia explicit materials mtandaoni maana inadumaza akili, huku kwetu ukiingia mtandao kama Twitter yaani ile trending In Tanzania unakuta ni neno ' msenge' ukibahatika sana unakuta neno 'yanga' au 'simba' siku za mechi, inaumiza sana
Kuna times niliwahi kumiliki Infinix, ilikua na kids mode. Unaamua cha kuset nini watoto waone.
Kwa sasa natumia Redmi hata sjui kama ipo humu
 
Niliwahi kumshauri huyu mzazi kwamba uwezo wake kiuchumi wa kuweza kufunga wifi nyumbani na kuweza kumnunulia mtoto simu, sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali.

Watoto wana uwezo mkubwa sana kujifunza vitu tusiwabeze, Fast forward mtoto alianza kuchimba chimba huko mitandaoni mpaka kujua kutumia vpn

Wazazi wake wanamkuta mtoto akijichua huku anaangalia hizo x kwenye simu, kufatilia zaidi mwalimu wake ni simu na internet.

Wazazi tuwe makini sana na hizi teknolojia.

1. Mpe mtoto simu ukiwa umezima data
2. Mnunulie mtoto simu yake unayoweza kukagua kila anachofanya kwenye history
3. Kama umefunga wifi nyumbani hakikisha watoto wanapata access ukiwepo wewe na kujua wanachofanya
Endapo ana uwezo wa kutumia VPN atashindwa vipi ku clear browsing history, njia pekee ni kuhakikisha humwachii mtoto simu yenye bundle, download vitu anavyopenda save kwenye Ipad yake ambayo haina simu kadi mpe. Kama una WiFi badilk password kila mara usijejiaminisha kuwa haijui.
 
Back
Top Bottom