My zantel line doesnt connect at 0 sh.

mnyongeni

Senior Member
Dec 6, 2011
141
24
Wadau hebu mnisaidie, kwanza nillinunua zantel line ya gsm, baada ya kuweka sh 500, ikawa inaconnect afu nikifungua page inaonesha kama hamna internet access. yaani page inafunguka na kuonesha kama hakuna internet access. mara wakala sh 15. then nikaitumia kwa kupiga simu ili ibaki 0 sh. then nikaconnect ikaconect but haikutoa internet access (nadhani wa kunielewaa ananielewa), nikawapigia customer care, wakasema gsm line haiwezi kunipa internet access, mpaka ninunue cdm line ambayo inauzwa sh 10,000. ambayo inakubali kwenye universal modem, na inafanya kazi na ndo inanipa internet na siyo hizi nornal gsm simcards. then nilinyojaribu kuconnect baadae hata kuconnect at 0 sh. ikawa inagoma, so please wadau hili ni tatizo kwangu pekee, au na zantel nao wametuvodacom? help me please, you can even pm me, kama unaona inafaa.
 
Wadau hebu mnisaidie, kwanza nillinunua zantel line ya gsm, baada ya kuweka sh 500, ikawa inaconnect afu nikifungua page inaonesha kama hamna internet access. yaani page inafunguka na kuonesha kama hakuna internet access. mara wakala sh 15. then nikaitumia kwa kupiga simu ili ibaki 0 sh. then nikaconnect ikaconect but haikutoa internet access (nadhani wa kunielewaa ananielewa), nikawapigia customer care, wakasema gsm line haiwezi kunipa internet access, mpaka ninunue cdm line ambayo inauzwa sh 10,000. ambayo inakubali kwenye universal modem, na inafanya kazi na ndo inanipa internet na siyo hizi nornal gsm simcards. then nilinyojaribu kuconnect baadae hata kuconnect at 0 sh. ikawa inagoma, so please wadau hili ni tatizo kwangu pekee, au na zantel nao wametuvodacom? help me please, you can even pm me, kama unaona inafaa.

Jaribu line za epic nation hata usposajili unaconect.
 
inatokea sana kama hivyo. mie nishatupa lain kama nne hivi, inapiga mzigoooo baadae inagoma. hata ukiweka hela inagoma. itupe tafuta nyengine....... wala usipige customer care. na hiyo nyengine itakuja kugoma, irembeee tafuta nyengine....
 
Hili tatizo unaweza kulisolve kwa kutengeneza profile/configuration kama hii


Profile name: Zantel Net

Static apn
APN: znet
Authentication
Access number: *99#
username: @zantel.com
password: 121212
 
Back
Top Bottom