Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
OTIS mwambie ani PM, opps! umri mdogo. Basi nimeghaili
wadau habari zenu,
nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks
OTIS mwambie ani PM, opps! umri mdogo. Basi nimeghaili
Baba wa huyo mtoto wake yupo wapi? Na mtoto ana umri gani?
Daah dili, kama unauhakika ana 6 au 8, niPM fasta .
mmmh!mungu niepushie mbali! ww mdada kuwadi sijawahi ona!! na ww nani atakutaftia???pia ujue kutofautisha nafsi kati ya ''NATAFUTA'' na ''NAMTAFTIA''
Hilo moja, la pili ni,wewe sio 'dada yako'?
Nauliza kwa nini hapa jamvini kila mtu akipost oh mara rafiki yangu oh mara dada/kaka yangu kwanini usisema mie mwenyewe? kwanini kunatatizo gani??
Nahisi ni wewe unatafuta, unajaribu kutuzuga. Hivi ki ukwei kuna mtu anamtafutia mwenzie mchumba? Excuse us girl!
<br><br><br>unahisi ni mimi it's not me my friend, hv mfano wewe una mchumba au mume but una rafiki yangu hana na yupo lonely huwezi ku m connect akikuomba na akiwa anahitaji boyfriend mchumba mume ?Nahisi ni wewe unatafuta, unajaribu kutuzuga. Hivi ki ukwei kuna mtu anamtafutia mwenzie mchumba? Excuse us girl!
kwa sababu unakatabia hako ka kutumia nafsi za wenzio kumbe ni ww!my goodness! kwanini mtu akisema kwa niaba ya mtu mwingine watu wengi mnafikiri ni yeye? na kwanini akisema yeye hamsemi si yeye? sio mimi believe or not
baba wa mtoto yupo but they can't live together na huyo dada yangu alizaa akiwa mdogo sana akiwa 19, mtoto ana miaka 15.
this is somehow strangewadau habari zenu,
nina dada yangu ana miaka 34 ana mtoto mmoja hajaolewa anatafuta mume amechoka kuishi maisha y a upweke , kazi yake anajishughulisaha na biashara , ni mrefu wastani, mnene wastani , mweupe na ni mrembo and very hard working . atakayependezewa ntawaunganisha thanks
my goodness! kwanini mtu akisema kwa niaba ya mtu mwingine watu wengi mnafikiri ni yeye? na kwanini akisema yeye hamsemi si yeye?
sio mimi believe or not