Ninyi nyote nadhani mmelukwa na akili huwezi kumlinganisha Dr.Slaa na e.Lowasa kama kweli yeye alikuwa mwadilifu kwann alijiuzur iliawalinde wezi. Eti huwa namaamzi mazito kwann siku anajihuzur hakutaja wez ili wananchi tuwafaham. Ss basi huyu mtu hatufai kwan alikubali kujihuzur iliawalinde wez wezake na hata kama akiwa Rais huyu mtu ataendelea kuwalinda wezi kwa sabab kuwalinda wezi nitabiayake hatufai huyujamaa.
Mpaka ss hv Rais anayefaa ni Dr. W. Slaa Mungu ibariki Tanzania........
Mpaka ss hv Rais anayefaa ni Dr. W. Slaa Mungu ibariki Tanzania........