The Following User Says Thank You to tabutupu For This Useful Post:
Sad / happy ending. (true story).
Walipendana na kuwa wachumba wakiwa chuo cha ualimu.
Baada ya chuo msichana akafanikiwa kujiunga na chuo kikuu (UDSM) na kijana akaendelea kupiga chaki kama mwalimu mkoani.
Msichana akaamua kumpiga kibuti jamaa eti kwa sababu hawezi kuwa na mume aliye mzidi elimu.
Jamaa illimwuma sana hasa kwa hiyo dharau akaendelea kuchaa mzigo kama kawaida.
Wote wakapata wachumba wengine. Msichana mchumba msomi kama yeye ma kijana mchumba form four aliye kuwa anajishughlisha na mambo yake ya biashara mjini.
Msichana akaolewa akapata mimba akashindwa kuzzaa akafa.
Kijana akafunga ndoa na yule binti mwingine, na akapa nafasi ya kujiunga na sua university, akamaliza akapata kazi nzuiri sana, na anaendelea na maisha yake ya raha na mkewe kipenzi.
Happy ending.
haaaa, happy ending kwa kina kanumba tuu!!! Nafikiri sad ending ndo za kumwaga
Nikikumbuka sad ending yangu, machozi hunitoka na niliapa kutopenda tena mpaka pale mama yangu mzazi aliponiuliza usipowapenda wanawake nani atakuwa mama wa watoto wako au na watoto nao umewachukia?
oooh so sad,
Nikikumbuka sad ending yangu, machozi hunitoka na niliapa kutopenda tena mpaka pale mama yangu mzazi aliponiuliza usipowapenda wanawake nani atakuwa mama wa watoto wako au na watoto nao umewachukia?
mimi yangu itajaza kurasa ila ndio sababu ya kutokuwa na mwenza mpaka leo,nikimwangalia mwanaume machoni namwona yuleyule aliyenitenda
yaani nashindwa ongeza neno hapo,ila nashukuru angalau uko ok now,swali moja huwa najiuliza kila siku kwani watu wanaumiza wenzao kiasi hiki,je huwa wanajua kuwa wanakuumiza au inatokea tu,nikipata jibu sawia la hili naweza jaribu tena kinyume cheke sorry siwezi kuwa mhanga enaYap,It was so sad to an extent that when I saw a girl I felt like changing my route and take another.But thank god I am recovering now.
nashukuru Tabutupuila sidhani kama nnaamini asilimia mia hao washauri kwa kuwa kama binaadam nadhani nitawaeleza sehemu ya tatizo tu,nafikiri wa kujisaidia zaidi ni mimi mwenyewe,sielewi kwa nini kila nikisoma Signature yako nasikia msisimko fulani naomba usiibadilishe tafadhali,huwezi jua unalisha nini baadhi ya mioyo ya watuPole shost, lakini nakushauri uchukue hatua. usiache hali hii iendelee kukutawala, maana utafika wakati hutakuwa nayo lakini it will be too late. waone washauri watakusaidia how to recover.