Its good to hear a good world's frm a fellow members but let me ask u!
Did you say TANGANYIKA?!
R u planing to break our union?? If that is the case. I think you got a very bad agenda about TANZANIA.and you sound like mpemba! And we wont let that happen. I promise!
Usijali tumekusamehe JF siyo mali ya Chadema wala CCM ni jukwaa huru.
Sasa mkuu nimeomba msamaha bado unakataa ,
Kweli tutafika? nyie ndio kama wale wa syria, hamtaki suluhu mnataka kuuana tu.
Maisha ni kusameheana, mtu akikubali kosa unamsamehe lkaa sivyo utanyonga wote ubaki peke yako duniani kama shetani tu
Pamoja na Mamwindi kushindwa kujizuia na kuamua kumpa za uso Dr Kleruu bado alinyongwa.
hongeara mkuu !mkuu kiingereza sio kipimo cha ufahamu, ni lugha tu kama kihehe
Haya Bhana ! Ila na wewe ukipewa za uso , halafu tukaja kuombana Msamaha basi uwe Mpole.
Rudi tuu kimya kimya chadema mkuu!!ccm ni chama cha zamani na wewe niwa kisasa
Mkuu hapo ni sawa na kumsilimisha papa , sio rahisi hata ndotoni.
Huko kwenu magumashi tu
Usijali tumekusamehe JF siyo mali ya Chadema wala CCM ni jukwaa huru.