Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Hata mimi ninao saanen unauezo wa kupata lita mbili asubuhi najioni na anazaa mapacha
 
Hata mimi ninao saanen unauezo wa kupata lita mbili asubuhi najioni na anazaa mapacha ni pm +255757662401
 
Ni mazuri sana kiafya mkuu,

Maana ni tiba ya vidonda vya tumbo na pia husaidia kurejesha na kuhifadhi kumbukumbu.
mkuu wapi naweza pata hao mbuzi wa maziwa jamani nahitaji kwa kweli MKUU Kitomari NIMEM PM WALA HAJIBU SIJUI NATAKA KUPIGIWA?
 
Last edited by a moderator:
mkuu wapi naweza pata hao mbuzi wa maziwa jamani nahitaji kwa kweli MKUU Kitomari NIMEM PM WALA HAJIBU SIJUI NATAKA KUPIGIWA????????????????

Kuna huyu mama anaweza kukusaidia. Yeye huwaleta toka Tanga 0654060031. Niliwahi kuwakuta kwake Dsm akiwa amewatoa huko. Mjaribu kisha utupe taarifa
 
kuna huyu mama anaweza kukusaidia. Yeye huwaleta toka tanga 0654060031. Niliwahi kuwakuta kwake dsm akiwa amewatoa huko. Mjaribu kisha utupe taarifa
Asante sana mkuu ngija nimpigie nimsikilize.hivi utunzaji wake ni tofauti sana na wale wengine???na ni kweli wanatoa maziwa mengi je kwaushauri ninunue jike na dume au nifanyaje?
 
asante sana mkuu ngija nimpigie nimsikilize.hivi utunzaji wake ni tofauti sana na wale wengine???na ni kweli wanatoa maziwa mengi je kwaushauri ninunue jike na dume au nifanyaje?
Ukiweza kununua jike peke yake lililopandishwa. Dume siyou muhimu sana kwani hata kwa kulipia sehemu kwa mwenye dume ili ampandishe mbuzi wako. Kama unaishi maeneo yaliyobana sana dume linakuwa na harufu sana utagombana na watu bure. Heri upate majike mawili.

Ufugaji wake una tofauti kidogo na wa kienyeji:

1. Banda zuri la gorofa -angalau liwe futi 2 toka ardhini ikiwezekana lidondoshe uchafu

2. Chakula wanachopenda: majani yafungwe juu kwani wanapenda majani ya juu. Wakishakanyaga hawayali tena. Pia pumba wanakula sana. Wa kwangu nawapa kila siku jioni walau kg 1 kwa mbuzi lakini pia ina mchanganyiko wa madini ambayo yanauzwa hapa dar pamoja na mashudu ya pamba, na maji ya kutosha

3. Matibabu: hakikisha unawapatia chanjo zao kwa wakati. Wakiugua uwatibu

4. Usafi: kuwaogesha walau mara moja kwa wiki wanapenda usafi

Ukweli ni kuwa na mimi ndiyo naanza sina uzoefu mwingi. Niliyosema ndiyo nnayofanya
 
Mmmm asante kwamaelezo, ila hapo kwenye harufu ni hawa wa maziwa tu aiu aina zote?

Kuna mtu ananiletea wa kienyeji toka Tanga nilipanga nichukue majike na dume nitafute wa Saanen ili nipate breed chotara mbona sasa naogopa. unaweza tuambia eneo kiasi gani linahitajika kwa mbuzi kama 10-15 Kwa sie wa semi urban?
Kitomari dume wako wauzaje?

Ukiweza kununua jike peke yake lililopandishwa. Dume siyou muhimu sana kwani hata kwa kulipia sehemu kwa mwenye dume ili ampandishe mbuzi wako. Kama unaishi maeneo yaliyobana sana dume linakuwa na harufu sana utagombana na watu bure. Heri upate majike mawili.

Ufugaji wake una tofauti kidogo na wa kienyeji:

1. Banda zuri la gorofa -angalau liwe futi 2 toka ardhini ikiwezekana lidondoshe uchafu

2. Chakula wanachopenda: majani yafungwe juu kwani wanapenda majani ya juu. Wakishakanyaga hawayali tena. Pia pumba wanakula sana. Wa kwangu nawapa kila siku jioni walau kg 1 kwa mbuzi lakini pia ina mchanganyiko wa madini ambayo yanauzwa hapa dar pamoja na mashudu ya pamba, na maji ya kutosha.

3. Matibabu: hakikisha unawapatia chanjo zao kwa wakati. Wakiugua uwatibu

4. Usafi: kuwaogesha walau mara moja kwa wiki wanapenda usafi

Ukweli ni kuwa na mimi ndiyo naanza sina uzoefu mwingi. Niliyosema ndiyo nnayofanya
 
Mmmm asante kwamaelezo, ila hapo kwenye harufu ni hawa wa maziwa tu aiu aina zote?
Kuna mtu ananiletea wa kienyeji toka Tanga nilipanga nichukue majike na dume nitafute wa Saanen ili nipate breed chotara mbona sasa naogopa. unaweza tuambia eneo kiasi gani linahitajika kwa mbuzi kama 10-15 Kwa sie wa semi urban?
Kitomari dume wako wauzaje?.
Ukiweza kununua jike peke yake lililopandishwa. Dume siyou muhimu sana kwani hata kwa kulipia sehemu kwa mwenye dume ili ampandishe mbuzi wako. Kama unaishi maeneo yaliyobana sana dume linakuwa na harufu sana utagombana na watu bure. Heri upate majike mawili.

Ufugaji wake una tofauti kidogo na wa kienyeji:

1. Banda zuri la gorofa -angalau liwe futi 2 toka ardhini ikiwezekana lidondoshe uchafu

2. Chakula wanachopenda: majani yafungwe juu kwani wanapenda majani ya juu. Wakishakanyaga hawayali tena. Pia pumba wanakula sana. Wa kwangu nawapa kila siku jioni walau kg 1 kwa mbuzi lakini pia ina mchanganyiko wa madini ambayo yanauzwa hapa dar pamoja na mashudu ya pamba, na maji ya kutosha

3. Matibabu: hakikisha unawapatia chanjo zao kwa wakati. Wakiugua uwatibu

4. Usafi: kuwaogesha walau mara moja kwa wiki wanapenda usafi

Ukweli ni kuwa na mimi ndiyo naanza sina uzoefu mwingi. Niliyosema ndiyo nnayofanya
 
Heshima mbele wakuu! Nategemea kufuga mbuzi wa Maziwa Nimekuja kwenu kupata ushauri wenu Namna yakuwatunza na SOKO kwa Ujumla! Nilikuwa 8 8 Morogoro nimewakuta hao Mbuzi Aina ya TOGGENBURG na SAANEN. Msaada ninaoumba kwenu;

1. Wanakuwa na Chakula maalum?
2. Soko la maziwa ya Mbuzi niwapi?
3. Bei kwa lita 1 tshngapi?

Natanguliza shukrani kwenu nikiamini hakuna kinachoshindikana kwenye hili Jamvi Mubarikiwe sana!
 
Malila ngombe wa kienyeji inawezekana kumlisha na kumtibu ili aongeze kilo kwa ajili ya nyama?? Maana na ngombe kama kumi na sita madume yote sasa afya zao haitanilipa kuwauza nimefikiria kuwalisha ili wanenepe. Swali mimi nipo kahama sijui madawa wala chakula, lkn watu wa huku wanawalisha makapi ya pamba na mashudu. Ningependa kupata somo sio kwako tu kwa wana jf woote. Niwalishe vp?
 
Kama kuna wanaopenda kufuga wanyama hasa Mbuzi ( wa maziwa,nyama),njooni tuunganishe nguvu tufanye mambo.Inawezekana kabisa tukafuga kwa mafanikio sana. Kila kitu kipo ndani ya uwezo wetu.

I believe together we can go.

Hongera sana kwa mawazo yako ya kuongeza uzalishaji badala ya kuwa mchuuzi au mtumiaji mkuu, bila shaka hii ni product ya SUA
 
Ndio unaweza kupata,

Mpaka sasa tumeshapata location murua ya kufugia na mipango ya upanuzi wa site unaendelea. Kipato chako kidogi kisikupe shida kwa sababu hata changu ni kidogo pia, cha msingi ni nia yako kama iko thabiti. Karibu sana.

Wapiganaji mpo wapi?
 
hongera sana kwa mawazo yako ya kuongeza uzalishaji badala ya kuwa mchuuzi au mtumiaji mkuu, bila shaka hii ni product ya SUA

Asante, mimi sijatokea SUA, ila SUA huwa napita kwa watalaam kuchota ujuzi.
 
wapiganaji mpo wapi?

Wenzangu bado wako Kitonga comfort Hotel wanakula, mimi niko mlimani namalizia kupanda mlima, niko na dogo mmoja tunamalizia mlima kitonga. Wenzetu wakimaliza kula watatukuta Ilula kama tutaamua kusimama, ila tumekubaliana na dogo, break ya kwanza Tunduma. Pale tutapumzika kisha tuvuke mpaka.

Karibu sana, safari ni ndefu, ina miiba na kiu, njaa kali ipo.Ila ukifika Tunduma kila kitu bwelele.
 
Back
Top Bottom