Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,229
Jamaa alisingiziwa kuwa kaiba,waliomkamata waliamua kumpeleka kwa mganga wa kienyeji,waliamua kama ni yeye wampe kichapo mpaka afe,walipofika walimwambia nganga tutakupa hela kama utasema kweli kwamba huyu ndo mwizi au sio mwizi.
mganga akawasha ubani,akasema mtu atakayezungukwa na moshi wa ubani ndo mwizi.
ubani ulipoanza kutoa moshi ukamzunguka mganga.
tabiri kilichotokea.
mganga akawasha ubani,akasema mtu atakayezungukwa na moshi wa ubani ndo mwizi.
ubani ulipoanza kutoa moshi ukamzunguka mganga.
tabiri kilichotokea.