Mwizi ******

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Siku moja kijana mmoja alikamatwa akiiba nguo ambazo zilikuwa zimeianikwa kwenye kamba mtaa fulani maeneo ya Kinondoni Dar es Salaam. Ilikuwa kama saa sita na nusu hivi usiku. Baada ya kumkamata,vijana wale waliamua kumuingilia kinyume na maumbile kwa zamu bila kumpiga na kisha wakamruhusu aende huku wakimpa onyo asirudie tena kwani wao huwa hawampigi mwizi usiku ila kum.f.i.r.a tu hadi akome. Kwa vile yule kijana ndo ilikuwa ni tabia yake hiyo ya kugawa uroda na kawati mwingine hutumia hata kuhongwa ili aliwe aliona mtaa ule ni mzuri sana kwake hivyo baada ya siku tatu alirudi tena na kuiba huku hana tahadhali yoyote. Akakamatwa tena na watu wengine na wakaanza kumpiga. Yule kijana alipoona kipondo akaanza kuwauliza, "mbona juzi mlisema adhabu yenu ni ku.f.i.r.a na hapa mnanipiga? Mngeniambia ukweli nisingekuja tena!"
 
Back
Top Bottom