Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Juzi kati kuna clip ilisambaa sana mitandaoni, mimi si mtumiaji sana wa mitandao mingine ukitoa JF na tweeter. Nilibahatika kuperuzi Facebook kupitia simu ya mke wangu, nikakuta clip ya jamaa(tapeli) akipigwa mno.
Waliokuwa wanampiga ni mke na wanaume baadhi, nafikiri walim track na kumuita aende. Jamaa anaweka mikono usoni ila mwanamke anamtukana matusi ya nguoni(kiungo cha kutolea mtoto), huku wengine wanampiga mikanda.
Nilishawahi kuona clip moja kama hii, ila ilikuwa ya mwizi wa kike(si tapeli), hakupigwa ila alirekodiwa tu akihojiwa kwa nini aliiba. Duuh! Week moja mbele vyombo vya sheria na NGO's zilipiga mno kelele kuwa yule Ustaadh aliyemkamata na kurekodi, afungwe.
Nilijifunza kitu kikubwa mno, hatupo sehemu salama. Kila siku mwanaume anazidi kukandamizwa sana, na sadly baadhi ya wanaume wanaungana na akina mama kuwakandamiza wenzao, na wanafurahia hili.
Huzuni mno!!
Waliokuwa wanampiga ni mke na wanaume baadhi, nafikiri walim track na kumuita aende. Jamaa anaweka mikono usoni ila mwanamke anamtukana matusi ya nguoni(kiungo cha kutolea mtoto), huku wengine wanampiga mikanda.
Nilishawahi kuona clip moja kama hii, ila ilikuwa ya mwizi wa kike(si tapeli), hakupigwa ila alirekodiwa tu akihojiwa kwa nini aliiba. Duuh! Week moja mbele vyombo vya sheria na NGO's zilipiga mno kelele kuwa yule Ustaadh aliyemkamata na kurekodi, afungwe.
Nilijifunza kitu kikubwa mno, hatupo sehemu salama. Kila siku mwanaume anazidi kukandamizwa sana, na sadly baadhi ya wanaume wanaungana na akina mama kuwakandamiza wenzao, na wanafurahia hili.
Huzuni mno!!