Mwita Mwikabe Waitara: Mwanasiasa zao la UVCCM aliyemwacha shetani na mambo yake yote!

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Nilikutana nae Arumeru nikamuuliza swali 'vp Tarime 2015 maana mpo mafahali wawili yeye na Suguta John Heche,nani ni nani ktk ubunge via cdm? Akanijibu 'DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA ITACHUKUA MKONDO WAKE'.Najitahidi kukupa maelezo machache juu ya Waitara then kina Millya wajifunze kitu hapa,Waitara akanieleza kuwa 2015 yeye ata contest ktk kura ya maoni ila kama akishindwa atakuwa tayari kumpigia debe aliyepitishwa.AS IF kama angeacha mguu mmoja magamba tayari ktk uchaguzi mdogo wa Tarime enzi ya Mwera angekata tamaa na angerudi gambani..Na pia kuchakachuliwa mwaka juzi kungemdiscourage bt amebaki kuwa mpiganaji ambaye hakumbuki alipotoka...Hongera bro kwa kujitolea kuwa mpiganaji kuungana na kina Kamanda Lema..usikatishwe tamaa na akina_ TUNTEMEKE niliyeckia akikuponda humu last month..TIME WILL TEL..,M4C
 
Nilikutana nae Arumeru nikamuuliza swali 'vp Tarime 2015 maana mpo mafahali wawili yeye na Suguta John Heche,nani ni nani ktk ubunge via cdm? Akanijibu 'DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA ITACHUKUA MKONDO WAKE'.Najitahidi kukupa maelezo machache juu ya Waitara then kina Millya wajifunze kitu hapa,Waitara akanieleza kuwa 2015 yeye ata contest ktk kura ya maoni ila kama akishindwa atakuwa tayari kumpigia debe aliyepitishwa.AS IF kama angeacha mguu mmoja magamba tayari ktk uchaguzi mdogo wa Tarime enzi ya Mwera angekata tamaa na angerudi gambani..Na pia kuchakachuliwa mwaka juzi kungemdiscourage bt amebaki kuwa mpiganaji ambaye hakumbuki alipotoka...Hongera bro kwa kujitolea kuwa mpiganaji kuungana na kina Kamanda Lema..usikatishwe tamaa na akina_ TUNTEMEKE niliyeckia akikuponda humu last month..TIME WILL TEL..,M4C

Umeingia huku jana na kuibuka na nyuzi za aina hii.....tuache kushusha heshima ya JF.Huwa hatujadili watu
 
kwani ilitakiwa asubiri kwa muda gani ili aje na habari kama hii? je ni wewe unae-set rules and regulations za jf?
 
Nilikutana nae Arumeru nikamuuliza swali 'vp Tarime 2015 maana mpo mafahali wawili yeye na Suguta John Heche,nani ni nani ktk ubunge via cdm? Akanijibu 'DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA ITACHUKUA MKONDO WAKE'.Najitahidi kukupa maelezo machache juu ya Waitara then kina Millya wajifunze kitu hapa,Waitara akanieleza kuwa 2015 yeye ata contest ktk kura ya maoni ila kama akishindwa atakuwa tayari kumpigia debe aliyepitishwa.AS IF kama angeacha mguu mmoja magamba tayari ktk uchaguzi mdogo wa Tarime enzi ya Mwera angekata tamaa na angerudi gambani..Na pia kuchakachuliwa mwaka juzi kungemdiscourage bt amebaki kuwa mpiganaji ambaye hakumbuki alipotoka...Hongera bro kwa kujitolea kuwa mpiganaji kuungana na kina Kamanda Lema..usikatishwe tamaa na akina_ TUNTEMEKE niliyeckia akikuponda humu last month..TIME WILL TEL..,M4C
nakubali unachoongea, na ninamkubali huyo jamaa ingawa si kama ninavyomkubali heche but pamoja na ukamanda wake alipoteza jimbo kizembe!
 
Umeingia huku jana na kuibuka na nyuzi za aina hii.....tuache kushusha heshima ya JF.Huwa hatujadili watu
Kama hatujadili watu mbona wewe umemjadili, acha hizo hata kama kajiunga jana ana uhuru wote wa kuleta na kuchangia hoja kama ulionao wewe. Mwita ni level nyingine na anaonekana atakuja kuwa kiongozi mzuri sana ndani ya Chadema sio mapepe baada ya kushindwa uchaguzi wanaanza maneno au kuhama chama.
 
Ameshushaje heshima ya JF acha wivu kijana ulitaka uandikwe wewe.
Ameshusha hadhi. Inaonekana Emeka hata hajui kuwa Waitara alikuwa CCM wakati Mwera anagombea kwa tiketi ya CDM, na aliondoka baada ya kuhitilafiana na wenzake kwenye kampeni za uchaguzi ule. Labda kama sijaelewa bandiko lake.
 
Namheshimu sana mwita ,jembe la uhakika mwalim wa Chem na maths. Kamtoe yule pimbi kule Tarime asiyejua hata kuongea.
 
Ameshusha hadhi. Inaonekana Emeka hata hajui kuwa Waitara alikuwa CCM wakati Mwera anagombea kwa tiketi ya CDM, na aliondoka baada ya kuhitilafiana na wenzake kwenye kampeni za uchaguzi ule. Labda kama sijaelewa bandiko lake.
Sasa hapo ndiyo hadhi gani ya JF iliyoshuka au TUNTEMEKE group mnataka kuja kwa gia nyingine maana mnampiga vita sana Waitara.
 
Mwita ni kamanda mpambanaji. Tumekuwa wote katika harakati za kuingia DARUSO na kuunda serikali ya wanafunzi iliyojipatia heshima kubwa zaidi.

Check list ya wapiganaji waliounda DARUSO 2005/6

Mwita Mwikwabe Raisi
Mrema John - Waziri Mkuu
Aurelia Kimaro - Vice President
Samwel - Fedha
Cosmas Gabriel - Usafiri
Engineer Mseti
Bahati Tweve - Accomodation
Marehemu spika wetu mungu ailaze pema peponi

Hiyo list ndogo tu na wengine wengi waliounda DARUSO chini ya uimara wa kamanda Mwita Mwikwabe.
 
Waitara kweli kaonyesa na kukubali demokrasia ichukue mkondo wake.
alipo chaguliwa na cdm kugombea kiti cha ubunge ilitakiwa wenzie wam support but haikuwa hivyo.
Kilichotokea tarime ni siasa za makundi ndani ya cdm ndiyo iliyosababisha wapoteze jimbo.
Henche ninamkubali sana tena sana, but ktk uchaguzi wa Tarime hakuitendea chama chake haki. kama
angeamua kuvunja kundi lake na kumsapoti Maitara jimbo lisingeenda ccm. Ktk uchaguzi ule CCm walikuwa wanasali usiku na mchana CDM waendelee kufarakani ili wapate upenyo na ndo ilivyotokea.
- Viongozi wetu wajifunze na kukubali demokrasia kuchukua mkondo wake.
 
Ben bwana. Ulitaka usifiwe wewe? Pole sana, toka ushindwe BAVICHA umekuwa na hasira sana. Siasa siyo lele mama kaka. Nenda kajaribu Mnanda.
 
Nilikutana nae Arumeru nikamuuliza swali 'vp Tarime 2015 maana mpo mafahali wawili yeye na Suguta John Heche,nani ni nani ktk ubunge via cdm? Akanijibu 'DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA ITACHUKUA MKONDO WAKE'.Najitahidi kukupa maelezo machache juu ya Waitara then kina Millya wajifunze kitu hapa,Waitara akanieleza kuwa 2015 yeye ata contest ktk kura ya maoni ila kama akishindwa atakuwa tayari kumpigia debe aliyepitishwa.AS IF kama angeacha mguu mmoja magamba tayari ktk uchaguzi mdogo wa Tarime enzi ya Mwera angekata tamaa na angerudi gambani..Na pia kuchakachuliwa mwaka juzi kungemdiscourage bt amebaki kuwa mpiganaji ambaye hakumbuki alipotoka...Hongera bro kwa kujitolea kuwa mpiganaji kuungana na kina Kamanda Lema..usikatishwe tamaa na akina_ TUNTEMEKE niliyeckia akikuponda humu last month..TIME WILL TEL..,M4C
Emeka Napenda kukueleza kuwa kwa bahati mbaya siasa za Tarime hazipo hivyo unavyodhani Mwita alishindwa Tarime kwa sababu alishindwa kuhamasisha vijana na wanawake. Pili alitumia sera za Lusinde (matusi) ndio ilikuwa down fall yake. Hechei hana following nje ya Sirari au Tarafa ya inchugu, ili ushinde Tarime unahitaji ingwe ikukubali kwa bahati mbaya hakubaliki ingwe wala inchage akishinda kura za maoni itakuwa ushindi kwa CCM. Tarime bado ni ngumu ila ni jimbo rahisi kama CDM wataacha personal interest and focus on country Mwita achukue Ukonga atakubalika.
 
Umeingia huku jana na kuibuka na nyuzi za aina hii.....tuache kushusha heshima ya JF.Huwa hatujadili watu

Ben, we ni mfa maji asieacha kutapatapa ulishindwa BAVICHA kwa ajili ya vijitabia saidianeni kujenga CDM na si malumbano ya kuibomoa.
 
Nilikutana nae Arumeru nikamuuliza swali 'vp Tarime 2015 maana mpo mafahali wawili yeye na Suguta John Heche,nani ni nani ktk ubunge via cdm? Akanijibu 'DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA ITACHUKUA MKONDO WAKE'.Najitahidi kukupa maelezo machache juu ya Waitara then kina Millya wajifunze kitu hapa,Waitara akanieleza kuwa 2015 yeye ata contest ktk kura ya maoni ila kama akishindwa atakuwa tayari kumpigia debe aliyepitishwa.AS IF kama angeacha mguu mmoja magamba tayari ktk uchaguzi mdogo wa Tarime enzi ya Mwera angekata tamaa na angerudi gambani..Na pia kuchakachuliwa mwaka juzi kungemdiscourage bt amebaki kuwa mpiganaji ambaye hakumbuki alipotoka...Hongera bro kwa kujitolea kuwa mpiganaji kuungana na kina Kamanda Lema..usikatishwe tamaa na akina_ TUNTEMEKE niliyeckia akikuponda humu last month..TIME WILL TEL..,M4C

M4C kama vp fiken had jimbo la NGORONGORO mkamalize kazi wananch wamechoshwa na unyanyasaji na utumwa na kuuzwa wao na ardhi yao na kuchomewa nyumba zao mbunge wao yupo2 hatuon hatua zozote zlzochuliwa tangu watu walipo chomewa nyumba na wengne wakidaiwa et co watanzania ndan ya nchi yao.wananch wamechoka.
 
Emeka Napenda kukueleza kuwa kwa bahati mbaya siasa za Tarime hazipo hivyo unavyodhani Mwita alishindwa Tarime kwa sababu alishindwa kuhamasisha vijana na wanawake. Pili alitumia sera za Lusinde (matusi) ndio ilikuwa down fall yake. Hechei hana following nje ya Sirari au Tarafa ya inchugu, ili ushinde Tarime unahitaji ingwe ikukubali kwa bahati mbaya hakubaliki ingwe wala inchage akishinda kura za maoni itakuwa ushindi kwa CCM. Tarime bado ni ngumu ila ni jimbo rahisi kama CDM wataacha personal interest and focus on country Mwita achukue Ukonga atakubalika.

Murrah, umejitahidi kujenga hoja yako lakini naona bado hukuiweka vizuri sana.
Pamoja na mambo mengine yaliyosababisha Waitara kushindwa kulichukua jimbo la Tarime ni Mwera kujiengua Chadema na kujiunga na cuf. Kuna wafuasi wengi tu aliondoka nao ambao ilikuwa ni base ya Chadema. Kwamba Waitara alishindwa kuwaunganisha vijana na akina mama si kweli hata kidogo mkuu, kushindwa kwake ni zaidi ya hapo.

Labda nikukumbushe kwamba Nyambari ni wa ukoo wa wairegi, na Waitara nae ni wa ukoo wa wairegi, kwahiyo wote wanatokea katika tarafa ya ingwe, ambako ndiko wanapatikana wairegi. Tarafa ya Inchage inakaliwa na ukoo wa 'watimbaru" na " wanyabasi" ambao kwa pamoja ndio wanaitwa inchage.

Kwahiyo ili mtu ajihakikishie ushindi jimbo la Tarime analazimika kuwa na uungwaji mkono tarafa za ingwe na inchage ambazo ndizo zina asilimia kubwa ya wapiga kura. Hata hivyo ni muhimu ukazingatia kwamba kwa wakati huu hasa uchaguzi mkuu uliopita wapiga kura hawachagui kiongozi kwa kuangalia nasaba yake(ukoo wake), bali uwezo wake binafsi pamoja na matarajio ya wananchi wenyewe.

Ushindi wa nyambari ulichangiwa pamoja na mambo mengine mgawanyiko/makundi miongoni mwa wanachadema kufuatia zoezi la kura za maoni kuonekana halikuendeshwa kwa haki na tuhuma za rushwa kutajwa kugubika zoezi hilo. Lakini pia ccm walifanya kazi yao ya enzi kuchakachua matokeo ili kuhakikisha kwamba wanalirudisha mikononi mwao jimbo la Tarime.
 
Emeka Napenda kukueleza kuwa kwa bahati mbaya siasa za Tarime hazipo hivyo unavyodhani Mwita alishindwa Tarime kwa sababu alishindwa kuhamasisha vijana na wanawake. Pili alitumia sera za Lusinde (matusi) ndio ilikuwa down fall yake. Hechei hana following nje ya Sirari au Tarafa ya inchugu, ili ushinde Tarime unahitaji ingwe ikukubali kwa bahati mbaya hakubaliki ingwe wala inchage akishinda kura za maoni itakuwa ushindi kwa CCM. Tarime bado ni ngumu ila ni jimbo rahisi kama CDM wataacha personal interest and focus on country Mwita achukue Ukonga atakubalika.
Katika hili tunahitaji kuwa wabunifu sana, na kufanya upembuzi wa hali ya juu. Ni kweli mpaka sasa Ukonga hakuna mpambanaji mahili wa kulichukua jimbo hilo, na kama Mwita anakubalika huko ni bora akaanza mchakato mapema wa kuwin mass. Kule Tarime atafutwe mpambanaji anayekubalika kwa jamii kubwa ya watu. Majimbo yote tunayahitaji sana.
 
Back
Top Bottom