zlatan9
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 516
- 593
idiot!Mwingira yuko sahihi kabisa wala hakuna ubishi , let us be great minds by discussing ideas and not people CCM has no room 2015
idiot!Mwingira yuko sahihi kabisa wala hakuna ubishi , let us be great minds by discussing ideas and not people CCM has no room 2015
ni katika kujikumbusha tuu.Huyu aliichangia CCM milioni 10 kwenye ile fundrising yao 2010!.
Huyu kwa upande mmoja ni mtume na nabii wa ukweli kabisa kwa uwezo wa kutoa mapepo kwa jina la Bwana na mahubiri yenye mashiko!.
Ila pia kwa upande mwingine nae ni binadamu tuu kama sisi binadamu wengine na anaweza kuanguka kwenye dhambi, akatubu na kusimama tena kama kile kisa cha kumbariki yule mke wa advocate, baraka zikakolea mpaka mke akamshauri mmewe wamkatie pande la kiwanja chao pale Mbezi Beach, na mume akakubali, kama shukrani za mibaraka kwa mkewe, kiwanja akamegewa na kuporomosha mjengo wa bilioni 2!. Baada ya mjengo kukamilika, siri ya baraka za mke zilikuwa zikifanyika vipi ikavuja, mke akakiri na kutubu, mtume na nabii akakiri na kutubu kwa mkewe na Mungu, wote wakasameheana, ila mwenye kiwanja sasa ameghairi kuendelea kummegea kiwanja chake mtume na nabii ili hali kina mjengo wa bilioni 2!, mume amemtaka nabii kuuondoa mjengo wake, sasa kesi ipo mahakamani!.
Duh...kumbe amesema kweli...Mkuu inawezekana amesema ukweli lakini tatizo amesemea kanisani,
Mnafiki sanabado waumini wake wapo!
Wewe pamoja na unyumbu wako umeuona mwisho wa ccm 2015?mataga pori tulieni sindano iwaingie vizuri.
"Nasema hivii, Mwingira chapaa kazii" in Marehemu Pombe's voice.Wewe pamoja na unyumbu wako umeuona mwisho wa ccm 2015?