Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Mtume na nabii kushindwa kuona maono kuhusu uhalali wa babu wa Loliondo, inatilisha shaka utume wao! Mimi naamini hii ni vita ya kihuduma kuliko kiroho. Haiwezekani mtu umtukane mwenzie kuwa ni roho itokayo kwa shetani wakati hata wewe unashutumiwa na wengine ni roho itokayo kusikojulikana! Hizi kweli ni nyakati za mwisho.