jamani si vyema kumwangalia mwingira kama mjasrimali pekee, bali pia tujiulize mengine aliyoibuka nayo. mfano kuna point hapo kwenye bold.
hata mimi naungana naye kuhoji hapo kwenye bold. anayejua atusaidie. mchungaji anaponya watu bila kuwahubiria kwa namna yoyote, ............we njoo, kamata kikombe chako, kwa heri!............ ni uchungaji gani huu?
Mungu anapewaje utukufu hapo?
tusaidiane please
Glory to God
Mimi nilitegemea hayo since day one. Kwa wale wachungaji/mitume/manabii/wazee wa upako/maaskofu wanaoombea miili nikimaanisha Maradhi, mali, magari,fedha, na uchumi kwa ujumla ni ngumu sana kukubaliana na Babu wa Loliondo kwani wao wako kimaslahi zaidi. Hofu yao kubwa ni kupoteza wateja. Kama unaenda kwa Mchungaji anakwambia usiseme nahitaji gari, sema nahitaji prado! Au mwingine anakwambia njoo umtolee Bwana mali zako zote aweze kukuponya ukimwi, sasa amepatikana mkombozi kwa sh. 500 tu, ni hatari sana kwa kipato cha hao wachungaji.Mimi sijategemea kabisa kama Ambilikile angepata upinzani kutoka kwa viongozi wa dini ya Kikristo.
alafu siku hizi kama umemsikia ameanza kutishia watu wanaohama kanisan kwake ati nakwambia wewe ulieenda uko upati kitu kama mungu wa MWINGIRA amekuandalia mwingira utaruka koteeeeeeeee
jamani kuna Mungu wa ambilikile wa mwingira..huyu MUNGU wako wangapi..majuzi nilienda na mdogo wetu mmoja anasali DPC kinondoni alisema mwanzo na mwisho kumpeleka pale..alipofika akaanza kukandia na nyie mnaokimbia makanisa yenu kukimbilia ibada za EFWATA nawaambia mmepoteza muda wenu hapa baraka natoa kwa wana efwata tu hata ukae mpaka saa moja..nikaona watu wanaanza kuondoka kichekecho ati kuna walinzi wamefunga mlango akuna kutoka mpaka amalize ibada..sasa kama akuna baraka mnangangania watu wabaki kanisan wa nini???waachen watu wawe huru usibague makanisa MCH MWINGIRRA HUU SIO MUDA WAKE....muwen na upendo na amani na si Kujiona huyu zaidi mimi zaidi amtafika kumbukeni lengo lenu ni kusudi la MUNGU litimizwe lakini naona WACHUNGAJI WENGI SASA WAMEKUWA ZAIDI YA MAGUFULI WANATAFUTA UMAARUFU WAO BIINAFSI BADALA YA KUTAFUTA SIFA ZA BWANA YESU
WENU
MTUMISHI/KANISA LA MWINGIRA
Hata mimi nimejaribu kutafuta wapi na nini mwingira amesema ili ikibidi tumwanike huyo mwingira maana wengi hawamjui, hata hivyo nimejaribu kuweka hapo juu kwenye topiki iliyomgusa mwigira baadhi ya mambo ya mwingira ila kama kuna mtu ana kauli yeyote aliyotoa mwingira ya kumkandia huyo mchungaji wa Liliondo atuwekee barazani ili tuweke mambo ya hawa manabii wa siku za mwisho.mbona topic haindani na maelezo uliyoyatoa? tujuze huyo nabii mwingira kasemaje kuhusu mchungaji babu ktk vyombo vya habari sio ishu ya yeye kua na benk au kumiliki shule.
Hayo ni maneno makali sana kutoka kwa mtumishi wa Mungu. Hata kama hakubaliani na Mchungaji Ambikile Mwasapile kuna jinsi ya kusema. Biblia inatufundisha tuwaombee na kuwabariki adui zetu. Sasa hata kama adui ni wakuombewa, yeye iweje amlaani? Jamani tutawajua watumishi hawa kwa matendo yao. Ee Mungu wa neema kikombe chako cha rehema kamwe kisikauke
point of collection kwenye red:ccm,cuf,nccr,tlp,udp Vs CDM
Mbona mfano wako haufanani na chochote hapa, umeishia darasa la ngapi wewe? maana hapa watu wanajibishana kwa hoja sasa wewe unafananishaje hapo? pmbfUkitupa jiwe kwenye kundi la watu na ukasikia mtu analia basi ujue huyo ndiye limempata