Mburula! Hata kisu kina matumizi mabaya na mazuri huwezi piga marufuku matumizi ya kisu kisa mtu kakitumia kumchoma nacho mtu mwingine, unatoa majibu rahisi kwenye maswali magumu.Suala hapa serikali yako ihakikishe kunakuwepo na ukaguzi wa kutosha kama ulivyo kwenye viwanja vingine duniani huwezi kugemea mavazi ya mtu ndiyo yakusaidie kutambua nani kabeba unga.
Kwani masogange alivaa hivi?
Wewe Mbwa wa manzese, huwezi kupiga marufuku vazi la watu kwani kinachotokea ni washenzi wachache kama hao wanaolitukanisha vazi hilo kwa kujifanya wacha Mungu kumbe ni mbwa tu. Na huyo mwanamke siyo muislamu hebu angalia jina lake tu, "Anthonia", waislamu hawana jina hilo. Huyu katumia vazi hili kuuchafua uislamu na vazi lenyewe. Nadhani mbwa wa manzese na wana jf kwa jumla mmenipata
teh!!! hapa sitii neno tena. watakuja wao kunena.:help:... Ndio maana Islamic people hukaguliwa sana baadhi ya Airports kuliko Christians...jiulize.
Minguo yao hiyo...afu usiombe atoke jasho na mnguo huo...utatamani utapike.
Wengine hata hawazifui.