Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,571
Hongera kwa maaskari wanaoendeleza harakati za kupambana na madawa ya kulevya
wanakamata machache wanapitisha mengi,,,,unacheza na wabongo wewe,na huyu kesi yake hutaisikia as usual,labda DPP awe waziri wa UCHUKUZI