Mwingine tena akamatwa na madawa mchana huu kaweka kwenye Johnson Powder

Huyu alikuwa na hamu na jela, hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kusafirisha unga kwa kutumia passport ya Nigeria!?
 
Hata mimi najiuliza Ablessed wateja ni kina nani? Maana inaonekana biashara inalipa hasa sio bure.

Mkuu watumiaji wa hii kitu ni wengi sana wafanysbiashara wakubwa sita wataja hapa na viongozi wa serekali ni wateja wazuri sana, tofauti na mateja unao waona wamechoka wao hutumia pure sembe with readonable instruction na ni very expensive

Wateja uwaonao wao hutumia mabaki au vumbi la dawa hizo ambazo wakati mwingine zimechakachuliwa ambazo hupatikana kwa bei rahisi.
 
Last edited by a moderator:
mavazi haya yapigwe marufuku, ni worldwide drug traffickers top gear

Hata mashuleni, mwanafunzi anaweza beba mimba na msimgundue kiurahisi kutokana na mavazi haya ya Hijab.
Mwaja jashaa ana tumbo la miezi 9 alilolificha ndani ya Hijab.
 
Wengi hutumia majina bandia na passport bandia wanapokuwa ktk ishu kama hizo, ndo maana hapo unaona zee zima na wajukuu lkn linasema lina miaka 25. Ni rahisi kuwashtukia, ila basi tu JNIA waliteka

Ndio maana nilitaka kushangaa mweeeh!
 
Huyu alikuwa na hamu na jela, hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kusafirisha unga kwa kutumia passport ya Nigeria!?

Kusema kwamba watu toka Niger ni hatari sana kwenye baadhi ya Airports Matola?
Hebu tueleweshe.
 
Last edited by a moderator:
Dah jamani utasema mtu wa mungu haswaaaa

Sio wote waniitao Bwana Bwana watauona ufalme wa Mungu!! Na zaidi, hatutaingia mbinguni kwa mavazi yetu, sura zetu, rangi zetu, wala matendo yetu ila ni kwa neema tu!! Mtu kama huyu angefanikiwa kuuza huo unga siku moja angeweza hata kutoa msaada kwa watoto yatima then watu wangesema anatenda jambo jema hivyo anafaa kuigwa!!
 
Na huyu hafanani na drug dealers, mtazame hizo yebo za mtaa wa kongo alizovaa!!!!!, dramaturgical.........

they know how to blind mdau,trust no one,c umeona sasa alivozuga???pia wajaribu ku-trace na gari ilomleta,hata kama taxi wanaweza wakapata data za kutosha,,cctv kamera si zipo?
 
Back
Top Bottom