Rocky Vicent
Member
- Jun 9, 2016
- 12
- 1
Hakuna mtetezi zaidi ya mungu manake binadam wachache wameamua kujigeuza kibabe kama mafarao na enzi za kina herode Eeeh MolAah..tuokoe sie wanyonge tunaangamia kwa kunyanyaswa na miungu watu wachacheTutarajie kuona Makada wa CHADEMA wakichanga fedha kumlipia faini