Business as usual.
Mr Number E Madelu anazingua sana!View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566
#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.
Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"
Rais Samia
Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.
Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.
Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.
====
Oktiba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Wote ni wale wale tu. Muulize hiyo mbolea ya ruzuku iko wapi?Katika mawaziri wachache wanaojitqmbua. Bashe akiwa mmoja wapo ana behave kama waziri muda wote akitoa maelezo ana figure, data from credible government sources na justification.
Bashe pia anapokwaruzana na watu huko serikalini ana maelezo ya sababu za kisera kwanini anawavaa. Also it must be said mipango yake uwa ni ovyo kutokana na limitations zake to how things work. Matokeo yake mwisho wa siku anaishiaga kubomoa zaidi kuliko kujenga. But still he comes across as ministerial figure to how he represent himself.
Huyo Mwigulu hana tofauti na Steve Nyerere anaetuambia SGR ipo majaribioni muda si mrefu tutaenda mwanza kwa siku moja. Haya ndio aina ya mambo Mwigulu anayoongelea mara nyingi ropo ropo kama chawa wa mtaani na sio mtu mwenye mamlaka makubwa serikalini.
Sibiishi hilo ndio maana nikaandika Bashe ana ideas ila uelewa wake wa utekelezaji wa mipango kufikia malengo ndio shida matokeo yake anaishiaga kuitia hasara serikali au kuleta uhaba.Wote ni wale wale tu. Muulize hiyo mbolea ya ruzuku iko wapi?
Mwigulu ni master mind wa huo wizi. Pesa haiwezi toka hazina kwenda wilayani bila waziri kujua.View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566
#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.
Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"
Rais Samia
Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.
Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.
Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.
====
Oktoba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Mkuu hilo linahitaji utibitisho.Mwigulu ni master mind wa huo wizi. Pesa haiwezi toka hazina kwenda wilayani bila waziri kujua.
Hivyo yatokeayo yote jamaa ndie huagiza
Ila Mama nae ana zengua. Sasa ana tuambia sisi tufanyeje? Maana yeye ana wenye kumpa taarifa wengi kuliko sisi.
Alikwishashema yeye ni Daktari wa Uchumi. Sisi ni kinanani wa kuweza kumbishia!Hivi Mwigulu anadhani yeye ni nani ?
Rais ana vyombo vya uchunguzi na mwigulu hana vyombo hivyo,ndio maana mfanyabiashara mmoja alimshangaa sana Mwigulu na akahoji Hv alipataje udokta.Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Mwigulu ni sifuri basi ni vile kwa sababu yuko CCM.View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566
#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.
Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.
"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"
Rais Samia
Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.
Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.
Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.
====
Oktoba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Kimsingi Mwigulu alitoa an irresponsible statement.Rais ana vyombo vya uchunguzi na mwigulu hana vyombo hivyo,ndio maana mfanyabiashara mmoja alimshangaa sana Mwigulu na akahoji Hv alipataje udokta.Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Mwigulu ni sifuri basi ni vile kwa sababu yuko CCM.