Mwigulu Nchemba-Out of touch. Anasema hakuna wizi serikalini, Rais ampa mfano wa mtandao wa wizi Mbeya

View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566


#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.

Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"

Rais Samia


Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.

Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.

Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.

====
Oktiba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Mr Number E Madelu anazingua sana!
 
Katika mawaziri wachache wanaojitqmbua. Bashe akiwa mmoja wapo ana behave kama waziri muda wote akitoa maelezo ana figure, data from credible government sources na justification.

Bashe pia anapokwaruzana na watu huko serikalini ana maelezo ya sababu za kisera kwanini anawavaa. Also it must be said mipango yake uwa ni ovyo kutokana na limitations zake to how things work. Matokeo yake mwisho wa siku anaishiaga kubomoa zaidi kuliko kujenga. But still he comes across as ministerial figure to how he represent himself.

Huyo Mwigulu hana tofauti na Steve Nyerere anaetuambia SGR ipo majaribioni muda si mrefu tutaenda mwanza kwa siku moja. Haya ndio aina ya mambo Mwigulu anayoongelea mara nyingi ropo ropo kama chawa wa mtaani na sio mtu mwenye mamlaka makubwa serikalini.
Wote ni wale wale tu. Muulize hiyo mbolea ya ruzuku iko wapi?
 
Wote ni wale wale tu. Muulize hiyo mbolea ya ruzuku iko wapi?
Sibiishi hilo ndio maana nikaandika Bashe ana ideas ila uelewa wake wa utekelezaji wa mipango kufikia malengo ndio shida matokeo yake anaishiaga kuitia hasara serikali au kuleta uhaba.

Tatizo lingine analoenda tengeneza ni kwenye sukari, subiri aanze kutoa ivyo vibali vyake kiholela. Badala ya kufikiria kutengeneza mazingira ya perfect competition kwenye uzalishaji wa ndani wa sukari na kuondoa hiyo oligopoly inayozalisha chini ya mahitaji ya nchi kama solution ya kudumu na self sufficient. Mkakati wao ni kwenda kuagiza sukari kwa wingi ambapo inazalishwa bei ya chini na kuja kuleta madhara kwa viwanda vya ndani.

Bashe ni mweupe kwenye maswala ya uchumi na biashara anahitaji watu makini wa kumshauri huko serikalini ana fikra zake za ovyo kweli muda mwingine.
 
View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566


#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.

Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"

Rais Samia


Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.

Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.

Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.

====
Oktoba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Mwigulu ni master mind wa huo wizi. Pesa haiwezi toka hazina kwenda wilayani bila waziri kujua.
Hivyo yatokeayo yote jamaa ndie huagiza
Ila Mama nae ana zengua. Sasa ana tuambia sisi tufanyeje? Maana yeye ana wenye kumpa taarifa wengi kuliko sisi.
 
Mwigulu ni master mind wa huo wizi. Pesa haiwezi toka hazina kwenda wilayani bila waziri kujua.
Hivyo yatokeayo yote jamaa ndie huagiza
Ila Mama nae ana zengua. Sasa ana tuambia sisi tufanyeje? Maana yeye ana wenye kumpa taarifa wengi kuliko sisi.
Mkuu hilo linahitaji utibitisho.
Nilivyomuelew mheshimiwa Rais, Mama Samia, mitandao ya wizi liyopo ni ile ambayo inakusanya miamala kama kodi za vijijini, malipo ya vibali mikoani na hamashauri zake.
Hela hiyo inaigia mifukoni mwa wajanja.

Controller mkuu wa mapato ya serikali ni wizara ya fedha, inaelekea eneo hlo la ukusanyaji wa mapato haiko makini.
 
View attachment 2933564View attachment 2933565View attachment 2933566


#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na mitandao mingine nje ya serikali.

Rais Samia ameyasema hayo leo tarehe 13 Machi, 2024 wakati akiwaapisha viongozi wateule wakiwemo wakuu wa mikoa wapya na waliohamishwa vituo vya kazi na viongozi wengine katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

"Nataka mkasimamie pia mifumo ya ukusanyaji mapato, watu wanaiba fedha watu wote mko hapo, wakuu wa mikoa na wilaya mko hapo, kuna mitandao inachepusha fedha za halmashauri huko, kuna mtandao wa serikali na mtandao mwingine unaochepusha pesa, nashukuru Mbeya wamekuwa wa kwanza kutuambia tunafuatilia huo mtandao, na upo unaenda na wanaambizana wanachepusha pesa nyingi sana, lakini bado mnakaa huko sijui kitu gani kimeharibika mnahitaji pesa zinatoka wapi?"

Rais Samia


Dokta wa Uchumi kalewa kazi.
Amejitamba hadharahi kuwa sasa hakuna wizi wa fedha serikalini, na kwamba mama Samia kafanya makubwa kutokomeza kabisa wizi wa fedha za umma serikalini.

Mama kamgutua.
Ametoa mfano wa mtandao wa wizi wa fedha za serikali huko Mbeya.
Fedha zinaingia moja kwa moja mifukoni mwa watendaji wachache wajanja.

Dr Mwigulu Nchemba kalewa madaraka, uwaziri umemkolea hadi anasahau kazi.
Hili ni tatizo.

====
Oktoba 28, 2023 Dkt Mwigulu Nchemba alisema hakuna wizi wa fedha serikalini.
Rais ana vyombo vya uchunguzi na mwigulu hana vyombo hivyo,ndio maana mfanyabiashara mmoja alimshangaa sana Mwigulu na akahoji Hv alipataje udokta.Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Mwigulu ni sifuri basi ni vile kwa sababu yuko CCM.
 
Rais ana vyombo vya uchunguzi na mwigulu hana vyombo hivyo,ndio maana mfanyabiashara mmoja alimshangaa sana Mwigulu na akahoji Hv alipataje udokta.Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Mwigulu ni sifuri basi ni vile kwa sababu yuko CCM.
Kimsingi Mwigulu alitoa an irresponsible statement.
Na kama ana weledi inabidi afuatilie na kutoa matokeo ya uchunguzi juu ya statement ya Rais.
Pili hatua zilizochukuliwa katika sakata hili.
 
Back
Top Bottom