thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Maneno haya kayasema leo singida mjini wakati akitambulishwa na mgombea urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli alipokuwa akiomba kura ili apate ridhaa mara ya pili kuitumikia nchi.
Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.
Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.
Je, kuna ukweli wowote katika matamshi yake?
Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal
Karibuni wanajukwaa
Katika matamshi yake ummati ulilipuka kwa shangwe huku ukisapoti asemayo Mwigulu Nchemba.
Wanasingida wameahidi kuipa ccm kura zote za ndio kwa nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani.
Wamesema chama cha wajanja janja (CHADEMA),kitaisoma namba.
Je, kuna ukweli wowote katika matamshi yake?
Tujadili hoja yake kama ina ukweli na si kumjadili mleta hoja (Mwigulu)personal
Karibuni wanajukwaa