Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
Ulishawahi kumpa kura Lipumba akakulaghai !? UNAMAWAZO MGANDO TENA YAKUAMBIWA. Mlaghai na mshenzi ni yule tunaempa kura zetu then anaishia kutukandamiza na kutuibia hatuna sababu ya kuita vyama vingine vya ulaghai
By principle siasa ni ulaghai, with no exceptions.