Mwigulu mtu mwingine aisee

Huyo ni kiongozi wa wote na kuwa na chawa fresh ndio watu wenyewe wewe shoga tulia hivyo hivyo kuchukia mambo ya watu
 
Afuu awe nani wa kumtabiria mtu mabaya au ndio ya baba Yao ya watu wazuri hawafii
 
Hicho ndicho ulichokisoma Mimi nilidhani utasema hajafanya haya na haya kumbe akili Haina chochote pole
 
Kama Taifa na hasa kwa vijana wasomi utaungana nami katika hili naloenda kuzungumzia Leo ! Very short Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine aisee ! Kwa mambo ambayo ameyafanya kwa mda mfupi Sana tunakila sababu ya Kumshukuru hasa wazazi wake waliomsomesha na hasa kusomea uchumi sijui aliwaza Nini ?

Kumbuka zamani masomo kama hayo ya Uchumi wazazi wetu walikua hawatushauri kuyasoma kwa kuamini hayana nguvu kwenye soko la ajira lakini huyu mtu akajitoa mhanga na kusomea hayo masomo kweli hicho kitu kiliishii ndani yake mpaka amekua msaada mkubwa Sana kwa Nchi yetu

Hakika ni jambo fikirishi Sana aisee duh kwa namna Dunia Ilivyopitia majanga kibao ya kudorora kwa uchumi lakini taifa letu limesimama imara mjirani zetu mpaka wanashindwa kulipa mishahara lakini kwa Nchi yetu hizo habari hatuna kwanini tusimpongez Mh Rais na Waziri wetu kwa Mapambano makubwa waliyoyafanya kutufikisha hapa

Kesho tu hapo tarehe 15 /6/2023 itasomwa budget kuu ya Serikali kwa wafuatiliaji wamekubali kwamba hii budget ni mziki mnene imegusa mambo yote muhimu imegusa maisha halisi ya Mtanzania Tunasubiri kwa hamu kubwa Sana kuisikia hapo kesho ikichakatuiwa na Mwamba Mwigulu Lameck Nchemba

Anachokifanya Mwigulu ni kama alikua anafanyiwa interview Rais wa Marekani kwa swali la utaisaidiaje nchi kupanda zaidi kiuchumi hutakiwi kujiuliza majibu yake ndiyo haya ambayo Mwigulu Lameck Nchemba anayafanya kwa Nchi yake akiwa Waziri tu akimsaidia Rais kutimiza maono yake juu ya taifa hili . Tusisahau kuwa Rais ni mbeba maono na watu wa chini yake humsaidia Ili kuyafanikisha na kuwa ni uhalisia tumeyaona hayo

Yes Ndiyo maana nimesema Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine

View attachment 2657175
KAUZA TIMU YAKE YA SINGIDA BIG STARS KWA FOUNTAIN GATE FC
 
Yes anaweza mambo mengi ila hajasema kuwa amechoka kama nchi Bado tunamhitaji Sana
Wewe ndio unamhitaji pekee yako aendelee kukulipa alfu tatu kwa siku kwa uchawa wako. Dolla imepotea, mfumuko wa Bei na Deni la nje limeongezeka.
 
Back
Top Bottom