econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,817
- 21,791
MunguNani wa kumuzuia asifike?
MunguNani wa kumuzuia asifike?
Bado vipi?Jamani mbona muda wa kampeni bado chawa mmeshaanza fujo
Wewe sio binadamu ni roboti. Unafurahia kutoza wananchi maskini ili upate sifa za kijinga.Mamiradi yanatembea speed Mia ishirini shwaaaa matunda ya tozo hayo.
Smart kwa kuwaambia wananchi wasiotaka tozo wahamie burundiMwigulu yuko smart, sema maelekezo yanatoka juu hana nguvu ya kukataa
Hii ID ni mpya na imetengenezwa kwa mkakati..haijui hata kuquoteHuyo ni kiongozi wa wote na kuwa na chawa fresh ndio watu wenyewe wewe shoga tulia hivyo hivyo kuchukia mambo ya watu
President gwa newyorko!2030 mwigulu my president!!
Mbona wewe std seven hujamaliza. Unataka wasomi gani? Punguza unafikiHapa tunataka wasomi sio wewe hata kuandika shida
Hatari kwa lipi?Mwamba ni hatari Sana
Mmeanza kelele mapema Sana, chawa msio na haya.Mnataka mpaka kampeni ndio tuseme mazuri ya mtu
Hakuna nchi wasiolipa Kodi, Kodi na tozo ni vichocheo vya maendeleoWewe sio binadamu ni roboti. Unafurahia kutoza wananchi maskini ili upate sifa za kijinga.
KAUZA TIMU YAKE YA SINGIDA BIG STARS KWA FOUNTAIN GATE FCKama Taifa na hasa kwa vijana wasomi utaungana nami katika hili naloenda kuzungumzia Leo ! Very short Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine aisee ! Kwa mambo ambayo ameyafanya kwa mda mfupi Sana tunakila sababu ya Kumshukuru hasa wazazi wake waliomsomesha na hasa kusomea uchumi sijui aliwaza Nini ?
Kumbuka zamani masomo kama hayo ya Uchumi wazazi wetu walikua hawatushauri kuyasoma kwa kuamini hayana nguvu kwenye soko la ajira lakini huyu mtu akajitoa mhanga na kusomea hayo masomo kweli hicho kitu kiliishii ndani yake mpaka amekua msaada mkubwa Sana kwa Nchi yetu
Hakika ni jambo fikirishi Sana aisee duh kwa namna Dunia Ilivyopitia majanga kibao ya kudorora kwa uchumi lakini taifa letu limesimama imara mjirani zetu mpaka wanashindwa kulipa mishahara lakini kwa Nchi yetu hizo habari hatuna kwanini tusimpongez Mh Rais na Waziri wetu kwa Mapambano makubwa waliyoyafanya kutufikisha hapa
Kesho tu hapo tarehe 15 /6/2023 itasomwa budget kuu ya Serikali kwa wafuatiliaji wamekubali kwamba hii budget ni mziki mnene imegusa mambo yote muhimu imegusa maisha halisi ya Mtanzania Tunasubiri kwa hamu kubwa Sana kuisikia hapo kesho ikichakatuiwa na Mwamba Mwigulu Lameck Nchemba
Anachokifanya Mwigulu ni kama alikua anafanyiwa interview Rais wa Marekani kwa swali la utaisaidiaje nchi kupanda zaidi kiuchumi hutakiwi kujiuliza majibu yake ndiyo haya ambayo Mwigulu Lameck Nchemba anayafanya kwa Nchi yake akiwa Waziri tu akimsaidia Rais kutimiza maono yake juu ya taifa hili . Tusisahau kuwa Rais ni mbeba maono na watu wa chini yake humsaidia Ili kuyafanikisha na kuwa ni uhalisia tumeyaona hayo
Yes Ndiyo maana nimesema Mwigulu Lameck Nchemba ni habari nyingine
View attachment 2657175
Mwigulu hakamatiki 2030 kiti kipo kinamsubiriPresident gwa newyorko!
😅
Wewe ndio unamhitaji pekee yako aendelee kukulipa alfu tatu kwa siku kwa uchawa wako. Dolla imepotea, mfumuko wa Bei na Deni la nje limeongezeka.Yes anaweza mambo mengi ila hajasema kuwa amechoka kama nchi Bado tunamhitaji Sana