Ebu tulia, kwani budget ni Dr. Mwigulu anapitisha, yeye anatoa proposals tu, Bunge ndio linapitisha budget, akiwemo mbunge wako, muulize mbunge wako, sbb zilizopelekea alikubali budget kuipitisha. Sio Mwigulu, umeelewa? Mwigulu ni mtoa hoja tu, waliokubaliana na hoja kupita waulize, mpigie mbunge wako
Tanzania kuna bunge!!???
 
IMG-20210717-WA0036.jpg
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Vitu vingine SSH anayataka mwenyewe , mtu alie wai kua wizara ya fedha na wenzake au watangulizi wake wakaona hapamtoshi, akapewa wizara ya Mambo ya ndani bado wakaona hapamtoshi then katiba na sheria, leo wamrudisha kule , huyu Mwingulu , hamna kitu ,natamani nafasi yake angepewa tu Mbunge Kishimba ,ana vyeti tu ,ila hamna lolote,
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
mkuu unasema mpango kakaa kimya wakati alitweet anasema "wananchi wote vumilieni tu mtazoea"
yaani hapa mwigulu anafanya alichojadili na mamlaka zake za uteuzi akiwemo mpango, kiukwli awam hii tumepigwa aisee.

kiukwel mm huwa inafika kipindi nawaza bora ata tusingekuwa na hili bunge, hawa wabunge hamna kitu wamesababisha hasara kubwa sana ktk hili taifa, wanajilipa miposho mikubwa ambayo haikatwi kodi na marupurupu mengine juu, mbunge pekee aliyejaribu kuiomba serikali ipunguze posho za wabunge ni Zitto Z Kabwe. nakumbuka alishambuliwa vikali sana kuanzia bungeni mpaka kwenye mitanao, na waliokuwa wakimshambulia ni wabunge wenzake wakiwemo waupinzani huku mwigulu akiongoza mashambulizi.

kiukweli tumpigwa tema pakubwa mno.
 
Hivi kama hatutaki kukatwa kodi ili tuendeleze nchi yetu,nchi yetu itaendelezwa vipi?

Mtoa mada wewe kama ungekuwa Waziri wa Wizara husika ungefanya nini ili kuongeza mapato ya Serikali ili irudishe maendeleo kwa wananchi??

Wakati tunalalamika tuwe tunatoa na suluhisho ili mhusika apate kulichukua na ikiwezekana kulifanyia kazi
 
Kati ya mawaziri wa hovyo huyu ni namba moja, watu wanaofanya miamala ya Simu wengi ni wenye maisha ya chini, mabenki yana makato madogo kuliko hata makampuni ya simu.

Miamala ya simu inafanywa na watu wengi vijijini walio mbali na mabenki kurahisisha mambo.

Huyu waziri amekuwa wa hovyo kabisa eti kodi ya mshikamano, unaleta kodi ya mshikamano wakati wao wabunge hawatumiwi mishahara kwa mpesa. Huyu waziri anatakiwa ajiuzulu maana ana akili mgando.

Kuna wazazi watoto wao wanasoma shule za bweni mbali, wanatuma hela za matumizi ambazo ni kuuza kuku au mbuzi, mzazi anatuma 50,000 ya matumizi halafu hela ya kutolea ni jogoo wawili.

Mzazi analipa hela ya chakula cha mtoto shuleni hela ya kutolea anauza mbuzi mzima.

Hivi uchumi gani huu wa kijinga halafu Mwingulu na Rais wote ni wasomi wa Uchumi.
 
Mbona mnatuhumu Mwigulu tu? Hivi unafikiri Rais alikuwa hajui mwaka wa fedha 2021/2022 wataingiza Tsh ngapi na kupitia vyanzo vipi vya mapato? Walianza kujadili wenyewe huko yakapitishwa kwenye vikao mpaka vya baraza la mawaziri ndo wakatuletea sisi uku.

Mtu ameteua mpaka mshauri wake wa masuala ya uchumi yupo anakuja kusaini iyo bill as if alikuwa hajui kusoma!

20210719_112848.jpg
 
Kodi zetu za Kizalendo zinaweza kupita na kichwa cha mtu

Kodi na tozo zisizo na mashiko ni hatare sana kwa president anaesikiliza wananchi kama Madam SSH

The minister could be the champion on the previous regime but not this One

Time will tell
 
Mbona mnatuhumu Mwigulu tu? Hivi unafikiri Rais alikuwa hajui mwaka wa fedha 2021/2022 wataingiza Tsh ngapi na kupitia vyanzo vipi vya mapato? Walianza kujadili wenyewe huko yakapitishwa kwenye vikao mpaka vya baraza la mawaziri ndo wakatuletea sisi uku.

Mtu ameteua mpaka mshauri wake wa masuala ya uchumi yupo anakuja kusaini iyo bill as if alikuwa hajui kusoma!View attachment 1859434
Sheria iliyopitishwa na bunge yaweza kuwa nzuri shida kwa hawa wasimamizi wa utungaji wa kanuni. Na ndiyo hasa shida vinginevyo ungesikia statement zao sheria irejewe bungeni na sio kanuni. Kwakuwa kanuni wametengeza wao ndiyo wameamua kwenda kuzirejea. Kwahiyo wafukuzwe kabisa. La tungesema baraza la mawaziri livunjwe.
 
Back
Top Bottom